Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,979
- Thread starter
- #24,721
Hahahaha!!! Wanasema akuaanzaye.....waulizeni City wanaelewa... Halafu sisi biashara zetu ni asubuh asubuhi jion tunafunga mahesabu hatuna kungoja dakika ya 88, sisi ni ATTACK ATTACK ATTACK WIN WIN WIN......
Sawa nyie ni Attack Attack Win, ila sasa beki yenu ni ipi tena, maana hapo ujue unaposema attack, tukigeuza ni sucker punch, then tunawaita kati.