Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ligera nakubaliana na wewe hasa ktk maswala kadhaa.
Swala la kwanza huo mchezo ata sare ni nzuri kwetu ndio maana tunatakiwa kujirinda Zaidi. Huku kujirinda kunatakiwa kujengwe kwa viungo imara Wa kati kwa Matic na Obi kucheza pale kati then nyuma ya Remy acheze Faby...hii itapunguza uimara Wa ManU kwa katiksti. Kwasababu wakipangwa viungo wawili ma DM watampunguzia kz Faby ya ukabaji na kubaki mbele akimsaidia Remy kutupia.

Na pili winga za ManU sio tishio sn. Huyu Young na Mata watakumbana na Azp na Iva.....lkn kz kubwa atakua nayo Valencia kwa Hazard na Blind kwa Willian...ila Mimi ningependa sn kumuona Ramires akicheza winga kulia na Willian kuanzia bench hasa baada ya kuwasoma wenzetu.

Tunahitaji kua na kikosi kigumu kweli kweli kuhakikisha Fulaini na wenzake wanakua vibonde!

ni ushauri mzuri kwani tukishinda game ya man tutakuwa tumekaa pazuri zaidi hivyo kujihakikishia ubingwa mapema
 
Last edited by a moderator:
mimi nataka tu attack kuanzia mwanzo...weka Oscar willian fabregas na Hazard...!

I believe kwenye ability ya ku defend ya Iva, Cahill, Terry na Azpi (huyu dogo lazima aingie kikosi cha mwaka cha ligi).

Utd Wanaweza wakachanganyikiwa na kuomba mechi iishe mapemaaa
 
mimi nataka tu attack kuanzia mwanzo...weka Oscar willian fabregas na Hazard...!

I believe kwenye ability ya ku defend ya Iva, Cahill, Terry na Azpi (huyu dogo lazima aingie kikosi cha mwaka cha ligi).

Mentor nakubaliana na wewe ktk hiyo mbinu ya kuattack na kuwapanga hao vijana...lkn kwa jinsi ninavomfahamu Mou sizani hilo atapenda kufanya kwasababu anahitaji kupata sare au kushinda ili kuendelea kua ktk nafasi nzuri ya kua bingwa! Kwa maana hiyo kuna mabadiliko kidogo atafanya ktk huo mchezo hasa kwa kumuangalia ManU alivo kwa sasa.

Kwanza anaweza kufanya mabadiliko kwa Cahill na kumpanga Zouma.

Na pili pale kati anaweza kumpanga Matic na Obi...hii itafanya tuwe na ngome ngumu sn...na pia iwapo Zouma ataanzia benchi na tukapata magoli, Zouma anaweza kuingizwa ktk nafasi hii ya DM.

Alafu Faby atacheza nyuma ya Remy..

Mabadiliko mengine ni ktk nafasi ya Willian. Mou anaweza kumuweka bench huyu Willy na kumuanzisha Ramires. Hii itasaidi sn kupata mtu atakae kua anapanda mbele na kushuka kukaba..maana siku hiyo Ivanovic hatakiwi kupanda mbele sn ili kuweka ukuta imara na hii itamfanya Ramy kutembea atakavyo..na pia kupangwa kwa Ramires kutafanya Hazard na Faby na Remy kukaa mbele na kushambulia sn.

Kweli tunahitaji kushambulia sn lkn tunatakiwa kushambulia huku tukiwa imara ktk kujirinda na kuhakikisha hatuwapi mianya hawa jamaa kua vzr uwanjani.
 
Last edited by a moderator:
Na hii ndio maana ya kuwa mchezaji wa Chelsea
 

Attachments

  • 1428930574847.jpg
    1428930574847.jpg
    27.5 KB · Views: 76
Kwangu Mimi... Kikosi kisiguswe... Labda kama Remy akipona anaweza kuja dimbani ama kama vipi akatokea bechi kama kawa.. King.. Mkubwa na wanae yupo.

Oscar aanze bench.. Ili akiwa anaingia awe ameshajua cha kufanya pale kati.. Kama Jana tu.

Cuadrado.. Blazaa Jose asitake kuprove yuko right kwa huyu bwana mdogo.. Atuachie W22 apige kazi.

John Obi Mikel.. Natamani kumuona MSWAHILI huyu kwenye hii mechi... Ila hata akitokea benchi inafaa bado.


Naona Obi unampa chapuo kuanza hapo kati akiwa na Matic...kwanini unapenda kumuona huyu Obi?
 
Naona Obi unampa chapuo kuanza hapo kati akiwa na Matic...kwanini unapenda kumuona huyu Obi?

Ni kweli kamanda... Sababu kuu ni hizi..
1.Jamaa yuko strong physically
2.Uwezo wake wa kupora, na kukaa na mpira bila kunyang'anywa kirahisi... Kukaa na mpira kutasaidia kushusha tempo ya utd.. Japo kimtindo kunaeza affect kwetu

3.Long pass... Jamaa mtaalamu hapa, hasa ukiangalia matic sio master wa hili.

4.mentality na uzoefu pia... Ila tatizo jamaa huwa mzito kidogo.
 
Ni kweli kamanda... Sababu kuu ni hizi..
1.Jamaa yuko strong physically
2.Uwezo wake wa kupora, na kukaa na mpira bila kunyang'anywa kirahisi... Kukaa na mpira kutasaidia kushusha tempo ya utd.. Japo kimtindo kunaeza affect kwetu

3.Long pass... Jamaa mtaalamu hapa, hasa ukiangalia matic sio master wa hili.

4.mentality na uzoefu pia... Ila tatizo jamaa huwa mzito kidogo.


Mkuu nakubaliana na wewe sn ktk hilo na huenda Mou akampanga ktk huo mchezo akiwa pacha Wa Matic....na km asipompanga tarehe 18 basi ule mchezo na Arsenal pale Emirates Mou atampa.

Vp kuhusu Faby na Oscar na Ramires na Willian.....wewe ungependa nani aanze? Na ukumbuke ktk bench la sub lazima tuwe na uhai kidogo.

Kwa Hazard na Remy au Drogba huko hakuna shida...atakavopanga Mou ni sawa tu. Ata kwa beki hakuna shida ingawa Mou anaweza Fanya mabadiliko kwa Azp na Luis au Cahill na Zouma. Lkn vyovote atakavopanga huku kwa mabeki ni sawa tu! Mambo yapo kati hapo.
Sijui unaonaje Mkuu!?
 
hivi Ntuzu game ya jana uliona mchango wowote positive kutoka kwa Ramires?
 
Last edited by a moderator:
hivi Ntuzu game ya jana uliona mchango wowote positive kutoka kwa Ramires?


Alicheza kawaida lkn hii inatokana na QPR kutukania sn....lkn km ukimuweka Oscar Ramires kwa big game km hizi, Mou lazima ampange Ramires hasa km akiwa hataki kupoteza mchezo....

Na pia Mou alivo mwehu na kumuamini sn Ramires sn anaweza kumuweka bench Willian na akaanza na Ramires km winger kulia.
 
Last edited by a moderator:
btn approach ya Ntuzu na ya Mentor binafsi napenda ya Mentor, kwa vile inanogesha mpira. watu hatutakaa vitini kwa vipindi vyote vijana wakimbizavyo mpira. na mpira wa spidi una raha zake manek dkk 45 zinaisha bila ya kujua. na kwa vile hatuna tena mechi za katikati ya wiki za champions ligi, hatuna sababu ya ku reserve energy. after all ndo tunaelekea mwisho wa msimu so kutakuwa na mapumziko ya kutosha summer. tumeona jana man u wakikimbizwa wanapoteana, kama city alivyowapoteza dkk 15 za kwanza. so kwa mkiki mkiki wetu kama tutaamua kuanza kuwakimbiza tangu mwanzo, akina Fellaini watabeba lawama kibao na hata red card watajitengenezea.

lkn pia nakwelewa sana Ntuzu kwa approach yako. play it safe. kwanza ni kuwa contain jamaa na mikiki mikiki yao watakayokuja nayo, kisha unawapiga na counter za maana na kuwatoa mchezoni.

All and all, mie nataka ushindi. kama Matic alivyosema hapo juu, nataka points 6 ktk hizi mechi 2 zijazo. sio tu tuchukue ubingwa ila nataka hao wengine watupe wao wenyewe ubingwa. watuvulie kofia na kukiri kuwa kweli sisi ni mabingwa mwaka huu. during summer wakae wanapitia video za mechi zetu zote wakijipanga jinsi ya kutuzuia next season, ambayo sisi tutaanza na additions za Gareth Bale na Pogba!!! watasoma sana video mpaka wapate PhD za kutuzuia tusifululize makombe England!!
 
Last edited by a moderator:
Kwangu Mimi... Kikosi kisiguswe... Labda kama Remy akipona anaweza kuja dimbani ama kama vipi akatokea bechi kama kawa.. King.. Mkubwa na wanae yupo.

Oscar aanze bench.. Ili akiwa anaingia awe ameshajua cha kufanya pale kati.. Kama Jana tu.

Cuadrado.. Blazaa Jose asitake kuprove yuko right kwa huyu bwana mdogo.. Atuachie W22 apige kazi.

John Obi Mikel.. Natamani kumuona MSWAHILI huyu kwenye hii mechi... Ila hata akitokea benchi inafaa bado.

Binafsi namkubali sana Mikel Obi. Bonge la defensive midfield. ila sidhani kama next mechi ni wakati muafaka kumchezesha. sijui kama ana match fitness. kakaa nje muda mrefu sana na sijui sana yukoje. acheze na Liverpool na mechi nyinginezo lkn kwa kesho kutwa asubiri kdg. na sio kwamba namdharau. hapana. huyu jamaa ni unsung hero wetu. wengi hawakumwona lkn huyu ndo aliyetupatia Champions League mwaka ule. tunamtaja Drogba lkn Obi alilikamata duara siku ile na kuizima Bayern katikati ya uwanja. alicheza mpira mkubwa sana siku ile! Long live broda Obi Mikel!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom