b5-click
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,194
- 2,114
Mkuu nakubaliana na wewe sn ktk hilo na huenda Mou akampanga ktk huo mchezo akiwa pacha Wa Matic....na km asipompanga tarehe 18 basi ule mchezo na Arsenal pale Emirates Mou atampa.
Vp kuhusu Faby na Oscar na Ramires na Willian.....wewe ungependa nani aanze? Na ukumbuke ktk bench la sub lazima tuwe na uhai kidogo.
Kwa Hazard na Remy au Drogba huko hakuna shida...atakavopanga Mou ni sawa tu. Ata kwa beki hakuna shida ingawa Mou anaweza Fanya mabadiliko kwa Azp na Luis au Cahill na Zouma. Lkn vyovote atakavopanga huku kwa mabeki ni sawa tu! Mambo yapo kati hapo.
Sijui unaonaje Mkuu!?
Kiukweli mechi ni kubwa na Blaza Josee inabidi afikirie kikubwa... Ushindi muhimu.
Tunapataje Ushindi!!??... Kwanza itabidi tuwazuie/tuwadhibiti wasitubuguzi kabisa.. Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa huyu MSWAHILI wetu akicheza na matic pale mbele ya Terry na Cahil..
Pili.. Itabidi tutengeneze nafasi na kushambulia kwa kasi ili tuvichanganye vile vitoto vya utd... Bila shaka mbele ya matic na Obi tunawahitaji eden hazard "MAJANGA"... THE MASK MAN... W22
mbele pale sasa.. Ili tuendane na kasi ya huo u-tatu mtakatifu tunamuhitaji REMY...Hahahahahah magoli lazima aseeeh
Mkubwa na wanae aanze benchi pamoja na mwanae Oscar na Ramirez na Zouma...
Baada ya kuwapiga wakijifanya wanajua... Tunaweka Zouma na Ramirez kwa matic/Obi na W22
Hivi lile suala la kubet vipi!?? Mkuu wa kaya Invisible hayupo TZ... Man U anaetaka tubeti ajeeeeeh.
Last edited by a moderator: