Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Manumbu approach yoyote ile ni sawa na huo uwezo Wa kucheza hivo tunao sn...

Lkn swala langu ni kwamba Mou anaweza kuamua approach gani ktk huu mchezo na ManU kutokana na uzoefu wako kwa Mou?. Najua ktk mchezo Wa Arsenal tutakua defensive sn pale Emirates kuliko huu Wa Utd.
 
Last edited by a moderator:
Manumbu approach yoyote ile ni sawa na huo uwezo Wa kucheza hivo tunao sn...

Lkn swala langu ni kwamba Mou anaweza kuamua approach gani ktk huu mchezo na ManU kutokana na uzoefu wako kwa Mou?. Najua ktk mchezo Wa Arsenal tutakua defensive sn pale Emirates kuliko huu Wa Utd.

nadhani Mou atatumia approach ya Mentor ya kwenda kasi mwanzo mwisho. kwa nini nawaza hivi? kwanza atataka kutoa statement ya kufungia msimu. alianza na statement of intent na kuanza kwa ushindi na mpira wa kasi. nadhani atataka kufanya hivyo hivyo na hakuna timu nzuri kutoa statement kama hiyo kwa bosi wake wa zamani LVG. Pili japo Man u wanataka kujifanya wanakimbiza, hawana mkimbiaji zaidi ya Young. wengine Herrera, Mata, Fellaini, Rooney, Di Maria, Falcao, RVP hawana kasi kihivyo. watategemea zaidi 'kuvizia' kwa Fellaini na Mata kwenye midfield wakiwa wamepanda mbele ya duara la kati. lengo likiwa ni kumlazimisha Faby akumbuke na abaki zaidi na jukumu la ukabaji kuliko kwenda kutoa mapande ya magoli. lkn kama attaching midfield watakuwa na kasi tunayoizungumzia mimi na Mentor, itabidi Carling na Herrera waongezewe msaada maana pale kati nyuma Smalling, Jones wako weak sana, na kwa nguvu za Drogba watapata shida kuzuia penetrations za Hazard, Oscar, Willian na Fabrigas.

Kama ningekuwa mshabiki wa Man U, nisingependa kabisa kucheza na Chelsea hii sasa hivi. Bora nicheze nao wakiwa wameshatangazwa mabingwa tayari!!!
Ntuzu kuna kale kagwaride kwa EPL ambako bingwa hupita katikati ya timu pinzani anayocheza nayo kama atakuwa ameshatangazwa bingwa. Naiona hii ikitokea siku tukicheza na Liverpool. Ningependa kuona sura ya Brendan Rodgers siku hiyo....SIjui akina Malafyale nao watapiga saluti humu jukwaani au utakuwa ubishi wa jadi kama kawaida yao...
 
Last edited by a moderator:
nadhani Mou atatumia approach ya Mentor ya kwenda kasi mwanzo mwisho. kwa nini nawaza hivi? kwanza atataka kutoa statement ya kufungia msimu. alianza na statement of intent na kuanza kwa ushindi na mpira wa kasi. nadhani atataka kufanya hivyo hivyo na hakuna timu nzuri kutoa statement kama hiyo kwa bosi wake wa zamani LVG. Pili japo Man u wanataka kujifanya wanakimbiza, hawana mkimbiaji zaidi ya Young. wengine Herrera, Mata, Fellaini, Rooney, Di Maria, Falcao, RVP hawana kasi kihivyo. watategemea zaidi 'kuvizia' kwa Fellaini na Mata kwenye midfield wakiwa wamepanda mbele ya duara la kati. lengo likiwa ni kumlazimisha Faby akumbuke na abaki zaidi na jukumu la ukabaji kuliko kwenda kutoa mapande ya magoli. lkn kama attaching midfield watakuwa na kasi tunayoizungumzia mimi na Mentor, itabidi Carling na Herrera waongezewe msaada maana pale kati nyuma Smalling, Jones wako weak sana, na kwa nguvu za Drogba watapata shida kuzuia penetrations za Hazard, Oscar, Willian na Fabrigas.

Kama ningekuwa mshabiki wa Man U, nisingependa kabisa kucheza na Chelsea hii sasa hivi. Bora nicheze nao wakiwa wameshatangazwa mabingwa tayari!!!
Ntuzu kuna kale kagwaride kwa EPL ambako bingwa hupita katikati ya timu pinzani anayocheza nayo kama atakuwa ameshatangazwa bingwa. Naiona hii ikitokea siku tukicheza na Liverpool. Ningependa kuona sura ya Brendan Rodgers siku hiyo....SIjui akina Malafyale nao watapiga saluti humu jukwaani au utakuwa ubishi wa jadi kama kawaida yao...

Manumbu hako kagwaride nakafahamu Mkuu...ila huyu ndugu yetu Malafyale atakua Wa kwanza kutupigia salute!

Ni kweli Mkuu...kuwashambulia sn ndio njia ya kuwazuia Utd na tunahitaji vijana wanaoweza hiyo kz siku hiyo....

Niwashukuru wote mliotoa maoni yenu mazuri Mentor b5-click ligera na wewe Manumbu......tuendelee kuwepo mpk siku ya game!

#KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
Ila chelsea huwa haisumbuliwi na timu kubwa. Man u wataangukia pua darajani. Arsenal na liverpool hao wote ni "darajaphobic"! Wakisikia darajani tayari kihoro kinawashika. Ila timu ndogo kama QPR zenyewe hazina cha kupoteza, Hivyo kuleta usumbufu fulani.

Chelsea anzeni kuzoea huzuni maana yaliyomkuta City jana yatawahusu. Suala lililopo ni kujitahidi kupunguza idadi ya mabao tu.
 
Shetani lenu na jambia lake limezoea sn kumwaga damu kila chumba likiingia lkn ktk chumba cha Chelsea Mourinho kalizimisha!

Hiyo picha kiboko...mkiweka tu ile yenu na sisi tunatupia yetu.

Uzuri hiyo yenu ni ya kufikirika haijatokea bado, sisi ni kitu live........
 
Manumbu hako kagwaride nakafahamu Mkuu...ila huyu ndugu yetu Malafyale atakua Wa kwanza kutupigia salute!

Ni kweli Mkuu...kuwashambulia sn ndio njia ya kuwazuia Utd na tunahitaji vijana wanaoweza hiyo kz siku hiyo....

Niwashukuru wote mliotoa maoni yenu mazuri Mentor b5-click ligera na wewe Manumbu......tuendelee kuwepo mpk siku ya game!

#KTBFFH

Watashindanaaaaaa lakini hawatashindaaaa!!! by power by force kitaeleweka!!!!!...........tarehe 18 ifike tu ....Lol
 
Last edited by a moderator:
Manumbu ungependa tucheze mpira Wa aina gani na ManU physical football au?. Na ungependa ktk nafasi ya viungo Wa kati apangwe nani na nani?

Wana watu wawili herera na matta so tunaanza na phizik ili kuwapoteza watu hawa, kati aanze matic,ramires, afu ilikuwa game nzuri kwa obi basi tu.
 
Last edited by a moderator:
Watashindanaaaaaa lakini hawatashindaaaa!!! by power by force kitaeleweka!!!!!...........tarehe 18 ifike tu ....Lol

pole wa kwetu. sipendi kucheza na wewe saa hizi. lkn kama nilivyokwisha kueleza kabla, come Saturday next you may reserve your beautiful smile for sth else. usiitazame hii mechi. iulizie tu come j2. sipendi kukuona una huzuni...
 
tunahitaji points 11 win 3 Draw 2 tuwe mabingwa

tukishawapiga Man U na Arsenal hatutohitaji tena points 11. kwa sbb hawa ndio title contenders waliobaki besides us. so tukishawaweka mzambwani, tutahitaji kuwafunga Leicester tu tutangazwe mabingwa. ndio maana nataka siku na Liverpool, wakiri kuwa cc ni mabingwa full stop!
 
tukishawapiga Man U na Arsenal hatutohitaji tena points 11. kwa sbb hawa ndio title contenders waliobaki besides us. so tukishawaweka mzambwani, tutahitaji kuwafunga Leicester tu tutangazwe mabingwa. ndio maana nataka siku na Liverpool, wakiri kuwa cc ni mabingwa full stop!

Wajipange na watupigie makofi tukiingia uwanjani sio.......

Kweli mkuu, halafu si unawaona hawa Manchester United wameshaanza kuongea...watanyamaza tu.
 
UEFA Youth League report:
1428943966568.jpg Chelsea 3 Shakhtar Donetsk 2



Our Under-19s were crowned European champions in their age group today when they won the UEFA Youth League final in Switzerland.

The Blues took an early lead as Izzy Brown finished from close range, although Shakhtar levelled half an hour later as Andreas Christensen turned Denys Arendaruk’s cross into his own net.

Chelsea upped the tempo at the start of the second half and netted twice in the opening 10 minutes to take charge of the game. Dominic Solanke nodded in Jeremie Boga’s left-sided cross before Brown added his second and our third with a super left-footed finish from 20 yards.
 
pole wa kwetu. sipendi kucheza na wewe saa hizi. lkn kama nilivyokwisha kueleza kabla, come Saturday next you may reserve your beautiful smile for sth else. usiitazame hii mechi. iulizie tu come j2. sipendi kukuona una huzuni...

Hahahahahahaha!!! Mtani sina wasiwas kabisa na hiyo mechi,nisiongee mengi lakini tusikimbiane humu ............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom