kitwala
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,476
- 1,066
mkuu tuna mechi ngumu bado,man u,arsenal,na liverpool
Game ngumu ni moja tu nayo ni ya Man U tu.
mkuu tuna mechi ngumu bado,man u,arsenal,na liverpool
mkuu tuna mechi ngumu bado,man u,arsenal,na liverpool
Game ngumu ni moja tu nayo ni ya Man U tu.
Game ngumu ni moja tu nayo ni ya Man U tu.
Arsenal anaweza kutusumbua mkuu.mkuu tuna mechi ngumu bado,man u,arsenal,na liverpool
man u mi naona haitasumbua mi hofu kwa arsenal mkuu wako vizuri sana.
timu 20 zipo kwenye premier league zote zipo vuzuri. Isipokuwa inategemeana na siku hiyo mnacheza kuwafurahisha mashabiki (show game) au mnataka kushinda. Hakuna mechi rahisi liji hii asikudanganye mtu na wala usifananishe mechi moja na nyingine. Na wala msipange kikosi chenu kwa minajili ya kuangalia mechi ya leo mtalia. Kila mechi ina umuhimu wake na tactics zake ni tofauti kutegemeana na timu pinzani.
NtuzuWewe unajifurahisha sn....huo mchezo Drogba na Remy wote watakua wako fiti
Arsenal anaweza kutusumbua mkuu.
Kwa hali ilivyo sasa kama Chelsea atashinda mech mbili 3 basi anaweza kutangaza ubingwa
LFC.. Magaidi hawa,, manure na wenzake lazima wakae
Hao Liverpool tutacheza nao ikiwa tushatangaza ubingwa