Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnajua kucheza na timu inayokaribia kushuka daraja ni sawa na kupambana na GAIDI... Tena kwao ni hatari zaidi... Ila shukurani kwa washkaji zetu... Pasingekalika humu
 
Kwa performance hii napata ujasiri wa kusema tutalibomoa daraja tar 18

siyo rahisi kihivyo. kucheza na timu inayoshuka daraja unatakiwa kuwa na nidhamu.

Hahahahahahaha!!! Mpaka goli liingie ndo usumbue........

Mnajua kucheza na timu inayokaribia kushuka daraja ni sawa na kupambana na GAIDI... Tena kwao ni hatari zaidi... Ila shukurani kwa washkaji zetu... Pasingekalika humu

Ni hatari... Lakini salama, tumepiga gaidi... Nini manure utd bhana!??? Walete watuonyeshe Kaya wameficha wapi... Hahahahahah
 
mimi nakubaliana na wewe timu yetu wacheza hawana ari ile ambayo tulizoea yaani wamechoka utafikiri usiku waliingiliwa


Hapana nyie mnaangalia upande mmoja tu jaribuni kuangalia upande wapili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom