Mama... Nipeleke jukwaani kwenu Leo
Kulikoni leo mmeamka na maneno ya kukata tamaa? Aiseee yaani mnatabir kushindwa!!!!!!
Japokuwa leo nina mechi ngumu sana lakini nina imani na facts zaniruhusu kushinda kabisaa.
Nimepita niwasalimu, muwe na wakati mwema.
Tutashukuru sana, ila nahisi Leo jiran yangu utapoteza
Kinachonipa moyo ni kwamba kila mchezaji wetu anaweza kufunga. Ni bora Remy apone vzr kwa ajili ya game zijazo.
Kinachonipa moyo ni kwamba kila mchezaji wetu anaweza kufunga. Ni bora Remy apone vzr kwa ajili ya game zijazo.
kitwala ole mwala?Nyakati kama hizi ndo hunipa raha ya kuangalia kila mechi.
Ktk kipindi hiki cha mwishoni ndo wachezaji wanaoonekana bora hupotezwa na wachezaji wa kawaida na timu zinazokuwa ktk ubora hupotezwa na timu zilizoko mkiani.
Ni kipindi hiki ambacho matokeo hujulikana baada ya dk 90.
Hicho na cha msingi apone ili Manchester watakapo kuja tuna striker ambaye anaweza kuenda na speed ya mchezo.....maana Drogba atachoka sana
Hapotei mtu leo history inavunjwa.......
Blazaaa Jose kiburi sana... Matic na Fab ndani... Hapa ndo ninapo mpenda huyu.
Humu kuna baridi kweli leo!!
Humu kuna baridi kweli leo!!