Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Humu kuna baridi kweli leo!!

Hakuna cha baridi wala nini! Tunaongoza kwa pointi 7 na mechi moja mkononi. Hivyo hii mechi haina pressure kwa matokeo yoyote yale. I bet kipindi cha pili Drogba atatikisa wavu! Ukubwa dawa!
 
Hakuna cha baridi wala nini! Tunaongoza kwa pointi 7 na mechi moja mkononi. Hivyo hii mechi haina pressure kwa matokeo yoyote yale. I bet kipindi cha pili Drogba atatikisa wavu! Ukubwa dawa!


Mnaongoza kwa points ngapi mkuu? Rudi kaangalie table asee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom