Kwa performance hii napata ujasiri wa kusema tutalibomoa daraja tar 18
Tupo... Tunasubiri dk 3 ziishe tufanye mengine
Timu kama hizi zinaitoa jasho Chelsea namna hii, hata kushinda kwake kunahitaji shabiki asiye na magonjwa ya moyo na kisukari. Akikutana na timu kama Arsenal au Man U atatoka kweli.
siyo rahisi kihivyo. kucheza na timu inayoshuka daraja unatakiwa kuwa na nidhamu.