everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
muda wa kuni catch up bahati mbaya umepita. bahati mbaya zaidi ni kuwa huko nyuma city walishani catch up. hilo lilikuwa somo tosha, especially kwa wachezai wangu watoto watoto. so washajua hatari ya complacency kwa matendo. it was a good learnign platform kwa kweli. ndo maana hilo haliwezi kujirudia tena.
hahahahahahaha!!! Yetu macho na masikio...... Ngoja nimalizane na mechi ya kesho.