Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Hahahaha!!! Watakapokuja kurusha mawe mimi simoooo!! !!!
Eeeh na sisi unatutabiria nini???😎😎
We usijitoea. Umelikoroga lazima ulinywe...
Hahahaha!!! Watakapokuja kurusha mawe mimi simoooo!! !!!
Eeeh na sisi unatutabiria nini???😎😎
Huo utabiri umeachiwa na yule sheikh maarufu au na wewe una kakipaji kako??
wakirusha mawe shauri yao...hayo huwa hayanigusi wala hayanishituagi. kuchukua ubingwa kunataka discipline kubwa sana, na sio bahati bahati au utoto utoto. ukitazama mabingwa wa EPL wamekuwa na tabia inayofanana. zitazame man u, city, chelsea na hata ile Arsenal ya wakati ule. kuna aina ya discipline ambayo you can easily tell hii ni timu bingwa. uchezaji wa waina hiyo am sorry to say kwa sasa haupo Arsenal. Man U mnaelekea lkn nadhani next year ndo ntaweza ona itawachukua muda gani kuchukua ubingwa. ile discipline ya kiubingwa bado haijajengeka hapo kwenu bado.Hahahaha!!! Watakapokuja kurusha mawe mimi simoooo!! !!!Eeeh na sisi unatutabiria nini???😎😎
Huo utabiri umeachiwa na yule sheikh maarufu au na wewe una kakipaji kako??
Hahaha. Ntuzu yote hayo ni woga tu, hali si shwari kabisa darajani. Timu haichezi vizuri, sasa mnatumia tricks za nje ya uwanja kushinda mechi.
Eli79 mimi sina hofu kabisa. as long as point 3 zinaingia kibindoni...sina hofu kabisa. ila sina kubweteka. bingwa habweteki mpaka anyakue ubingwa...kabla ya hapo ni moto chini kama formula 1 mpaka kuufikia mstari wa ushindi!!!
wakirusha mawe shauri yao...hayo huwa hayanigusi wala hayanishituagi. kuchukua ubingwa kunataka discipline kubwa sana, na sio bahati bahati au utoto utoto. ukitazama mabingwa wa EPL wamekuwa na tabia inayofanana. zitazame man u, city, chelsea na hata ile Arsenal ya wakati ule. kuna aina ya discipline ambayo you can easily tell hii ni timu bingwa. uchezaji wa waina hiyo am sorry to say kwa sasa haupo Arsenal. Man U mnaelekea lkn nadhani next year ndo ntaweza ona itawachukua muda gani kuchukua ubingwa. ile discipline ya kiubingwa bado haijajengeka hapo kwenu bado.
Kumbe ni uoga ahhhh!!!!!........
Eli79 mimi sina hofu kabisa. as long as point 3 zinaingia kibindoni...sina hofu kabisa. ila sina kubweteka. bingwa habweteki mpaka anyakue ubingwa...kabla ya hapo ni moto chini kama formula 1 mpaka kuufikia mstari wa ushindi!!!
Ila kuna ka ukweli Fulani..... Unaizungumziaje City na LFC?
kuogopa nini? labda unambie naogopa kivuli changu mwenyewe. manake kwa gap lililopo hata nipande ghorofa ya 20 bado simwoni aliye nyuma yangu sasa niogope nini? la msingi niwahi kunyakua kombe ni relax nianze mipango ya usajili tayari kwa kutetea ubingwa wangu mwakani!!! lazima watu wachukie kuona kila mwaka ni Chelsea tu inachukua ubingwa....
Sawa kiongozi, basi twende game by game, tunaanza leo vs burnley na nyie vs QPR kesho...game by game!
Hivi b5-click yu wapi?
Ahhh!!! Sasa point si nyingi kiivyo Gunners wanakutafuta na 7 sisi na 8 City 9 ahhh!! Hizi zinalipika kabisa tukikaza buti...........hatuchukiii Bali tunakupongeza ila mwaka huu naona..........