Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

everlenk ni zaidi ya mdau kwangu,huyu ni dada yangu na ni mwana dada ambaye haogopi kusema kile anacho amini kuwa ni kweli

Kama kuna mtu anajua namba yake pls aniandikie chemba!!Pole sana dada

Asante kaka yangu sasahivi siyo mbaya Mungu anatenda, ngoja tumuombe TBS Ntuzu aidhinishe utoaji wa namba lol
 
Last edited by a moderator:
Vyovyote vile itakavyokuwa kubalianeni vizuri na Mentor, Haya nipeni mchakato nimesoma juu juu tu, bet ni kwa mechi gani na nani anapewa na iko vipi?

Kuna maoni alitoa Mentor hapo nyuma baada ya kuona watu wanataka ban, hivo Akatoa maoni kwamba kwa wale wanaobishana basi watoe sh 30000 apewe Invisible km mmoja timu Yake ikishinda basi atarudishiwa pesa Yake na ukishindwa basi hiyo pesa itakua umechangia Jf.

Hayo mawazo yakapitishwa....
 
Last edited by a moderator:
Kuna maoni alitoa Mentor hapo nyuma baada ya kuona watu wanataka ban, hivo Akatoa maoni kwamba kwa wale wanaobishana basi watoe sh 30000 apewe Invisible km mmoja timu Yake ikishinda basi atarudishiwa pesa Yake na ukishindwa basi hiyo pesa itakua umechangia Jf.

Hayo mawazo yakapitishwa....

Hayo ni mawazo mazuri sana, hongera sana Mentor siyo mambo ya kujipiga ban jukwaaa litabaki empty kila mtu ni muhimu sana humu, kwahiyo hiyo bet ni against mechi ya Chelsea siyo?
 
Last edited by a moderator:
2760E6C200000578-3030872-image-a-1_1428516359029.jpg


2760E6CA00000578-3030872-image-m-3_1428516371336.jpg


the new mask man... #cesc4


2760E6D200000578-3030872-image-a-4_1428516407382.jpg


for the doctors...


27597CD800000578-3030872-image-a-5_1428516411211.jpg



on his way to milan...




DOWN MEMORY LANE:

01E001AB000004B0-3030872-image-a-3_1428563019374.jpg



19984738000005DC-3030872-image-a-4_1428563025282.jpg

 
0C71DC0F00000514-3031684-image-a-11_1428567965477.jpg


"There is still that element of pressure to finish the job. We've worked so hard this season to be where we are and to put ourselves in the position we are in, so we want to go all the way and finish it." #GarryCahill24
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom