Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bora utuwazie hivyo hivyo maana tunaleta msiba nyumbani kwenu, Ntuzu usipaone hapa maana utanuna, lol


Sijapaona!

Sasa naanza kushangilia ubingwa.

Mchezo wenu na city utakua mgumu sn km city leo atapoteza....sitaki kusema sn usije ukaacha kupiga story na Mimi.

Arsenal sasa sisi ndio tunakufa naye kaibasa!
 
Last edited by a moderator:
Hivi vitoto vinatusumbuaga sana safari hii vitajuta, Yaya Toure kwisha habar yake


Jitahidini sn mumfunge City ingawa atakuja hapo OT na maguvu kibao km mbongo aliejeruhiwa lkn draw tu kwenu ni mzuri na uzuri ni kwa LvG anafahamu sn kukutana na hizi timu kubwa! Mtafanya vzr lkn kwa kuvuja jasho sn!

Kule kuporomoka kwa Man City kumeanza kutimia!
 
Sijapaona!

Sasa naanza kushangilia ubingwa.

Mchezo wenu na city utakua mgumu sn km city leo atapoteza....sitaki kusema sn usije ukaacha kupiga story na Mimi.

Arsenal sasa sisi ndio tunakufa naye kaibasa!

Safari hii jambia linawahusu, nipo tayari tupinge... Lol
 
Halafu hapa siyo nyie namaanisha City mimi na wewe kwenye mechi yenu usijali tutapinga tu ........


Kwa Man utd kupata sare hilo liko wazi kabisa na kushinda hilo ni jambo la pili ambalo mtaweza pia lkn ni kwa kuvuja jasho sn!

Kitu kikubwa nachoweza kusema sasahivi huo mchezo wenu na city hamuwezi kupoteza!
 
Sijapaona!

Sasa naanza kushangilia ubingwa.

Mchezo wenu na city utakua mgumu sn km city leo atapoteza....sitaki kusema sn usije ukaacha kupiga story na Mimi.

Arsenal sasa sisi ndio tunakufa naye kaibasa!

Based on current perfomance Arsenal will beat you really good

Chelsea daaah kama tu Man City na week mna derby na QPR mhhhh
 
Based on current perfomance Arsenal will beat you really good

Chelsea daaah kama tu Man City na week mna derby na QPR mhhhh


Arsenal can beat LFC and ManU in FA cup but not Chelsea.....
.hao QPR watautafuta mpira kwa tochi safari hii! Hatusubiri eti mpk tukutane na Arsenal mshindani wetu eti ndio tumpige!
Wakati mnapunguzana sisi tunamaliza biashara na QPR ya kujikokomelea kileleni!
 
Arsenal can beat LFC and ManU in FA cup but not Chelsea.....
.hao QPR watautafuta mpira kwa tochi safari hii! Hatusubiri eti mpk tukutane na Arsenal mshindani wetu eti ndio tumpige!
Wakati mnapunguzana sisi tunamaliza biashara na QPR ya kujikokomelea kileleni!

Kwa kiwango chenu cha sasa cha kutegemea keeper wa Stoke *ajifunge* ndiyo mpate points 3 sidhani kama utamuweza Arsenal huyu
 
Kwa kiwango chenu cha sasa cha kutegemea keeper wa Stoke *ajifunge* ndiyo mpate points 3 sidhani kama utamuweza Arsenal huyu
inaonekana umesahau EPL tukikutana na timu kubwa tunakaza
 
Kwa kiwango chenu cha sasa cha kutegemea keeper wa Stoke *ajifunge* ndiyo mpate points 3 sidhani kama utamuweza Arsenal huyu

Yaani arsenal kumfunga kibonde liverpool goli 4 ambaye toka msimu wa ligi ulianza hajawahi kuinusa big 4 hapohapo unageneralize kwamba naye chelsea atafungwa nadhani utakuwa unafurahisha jukwaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom