Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Nashukuru sn mamito, na nyie jana mlinipigia Malafyale sijamuona tena akisema kua "NA NYIE SASA MNAYAOGOPA MAJOGOO" dawa imemuingia chezea JuanMata weweeeeeeee
Last edited by a moderator:
Nashukuru sn mamito, na nyie jana mlinipigia Malafyale sijamuona tena akisema kua "NA NYIE SASA MNAYAOGOPA MAJOGOO" dawa imemuingia chezea JuanMata weweeeeeeee
Nilikuwa safarini mkuu,ndiyo nimefika home sasa
NASISITIZA tena jana tumefungwa sababu ya UPUUZI wa SG wala sio Juan Matta
Nilikuwa safarini mkuu,ndiyo nimefika home sasa
NASISITIZA tena jana tumefungwa sababu ya UPUUZI wa SG wala sio Juan Matta
Pole sn mkuu kwa safari....lkn km ukisimamia hoja kua ni upuuzi wa SG vp na kwa Rooney kukosa penalty... huoni km ManU walikua wawapige tu ata km angepiga huo mkwaju mtu mwingine?
binafsi nadhani tuko pazurina tuko vizuri. ushindi ni ushindi tu hata kama tumeuhangaikia. in any case tusisahau pia kuwa kila timu tutakayocheza nayo lazima itakamia kuliko kawaida. so tukifanikiwa kushinda tusisikitike sana. bado hizi mechi ni ngumu sana. hatuko vibaya kabisa ndugu zanguni. na wala hatuna haja ya kujaa pressure, ingawa pia hatuhitaji kubweteka kama Liverpool this time last season mpaka kombe likawatoka. tukaze buti, tujue tunahitaji point 3 kila game hata kama tutashinda kwa tofauti ya goli moja, huo ni ushindi tayari!!
Msamehe tu unajua hiki kipigo hawakukitegemea! Walishashinda hii game midomoni! Wazungu wanasema 'they didn't see this coming'
BTW njia yenu ya ubingwa inazidi kuwa nyeupe, City anatakiwa aje OT, Arsenal nae anatakiwa spite OT hao ndio wapo nyuma yenu! Naamini dua zako zitakuwa kwetu!
Man city kiwango kimeshuka Sana,atapoteza nafasi ya pili na hio maana yake Chelsea bingwa! Arsenal wanaenda vizuri ila the best they can achieve ni runner up! The same applies to man utd!
Hata mimi Ntuzu huo msimamo wako wa ligi ndio wa kwangu,ingawa ningependa mmoja wa Southampton au Totenham wangekuwa kwenye position 4 lkn ndo hivyo ngoma ya kitoto haikeshi. ila naamini Man City atamaliza akiwa wa 4 this time. na ndo utakuwa mwisho wa Pellegrini.
Mkuu wakati mwingine mimi hua nasema kua biashara ya Man City imeshakwisha lkn watu wanaona km nalopoka tu lkn ukirudi kwenye ukweli City hana chake tena....na ligi imeshaisha mkuu.
Kiongozi Manumbu km mabadiliko yanaweza kutokea ni kwa ManU na Arsenal ktk hiyo nafasi ya pili na ya tatu, lkn Man City nafasi ya 4 ni ya kwake ata iweje....na LFC ni wa tono tu....na huu ndio muda wa mtu kushika alichonacho.
Mkuu wakati mwingine mimi hua nasema kua biashara ya Man City imeshakwisha lkn watu wanaona km nalopoka tu lkn ukirudi kwenye ukweli City hana chake tena....na ligi imeshaisha mkuu.
Kiongozi Manumbu km mabadiliko yanaweza kutokea ni kwa ManU na Arsenal ktk hiyo nafasi ya pili na ya tatu, lkn Man City nafasi ya 4 ni ya kwake ata iweje....na LFC ni wa tono tu....na huu ndio muda wa mtu kushika alichonacho.
Ili kuhakikisha tunamaliza kazi tuliyoanza nayo tangu msimu unaanza na tunabeba ndoo kabla ya mechi zote kuisha, Mourinho anapaswa sasa kubadilisha formation na kuchezesha strikers wawili (Remy na Costa au Drog kama Costa hatopona haraka). Formation yetu ya kuweka striker mmoja inawapa chances team pinzani kucheza na 3 defenders na kutushambulia sisi sasa. Yaani vitimu kama Burney, Hull etc navyo eti vinashambulia na kutupia magoli nyavuni kwetu. Juzi hapa mpaka half-time, Hull walikuwa wamepiga mashuti kama 14 wakati sisi yetu hata 7 yalikuwa hayafiki
Bado safari ni ndefu. Mechi na Stoke, Arsenal na Man Utd ni mtihani ule lakini nina imani na team linapokuja suala la kucheza na timu kubwa
How about Liverpool?
How about Liverpool?
Liverpool anagombea nafasi ya tano na akina Tottenham,Southampton maanake wana pts 54,53,53
Kwa ajili ya ligi iwe hai kidogo inatakiwa gap la wa kwanza na wa pili liwe points 5 hivi kwahio itakuwa burudani Chelsea hata atoe draw game moja tu! Samahani lakini....
Kusema ukweli mimi ninachojua ni kwamba LFC kwenye top 4 hawamo na kitu kingine ni kwamba nafahamu ktk mchezo wetu na LFC tarehe 9 mwezi wa tano ndio mchezo tutakao kabidhiwa kombe letu mbele ya majogoo na Malafyale akiwa anashuhudia na BR wake.