Kusema ukweli naona Chelsea ifungwe mechi zote na tusichukue kombe ili huyu Babu atimuliwe.
Huu mfumo wake wa kudefend ushagoma
Afu Chelsea fans wanajipa matumaini kuwa watachukua kombe. Kwa huu mchezo hatufiki popote pale.
Stoke, Liver, Arsenal, United ,QPR ni mechi ngumu sana
Tumepata point tatu muhimu sana japo mechi ilionekana ngumu kiasi
bado Blues kuna yumba kidogo kwenye ulinzi, Chelsea haina historia ya kufungwa fungwa magoli ya hovyo namna hii, hope Mou na wachezaji wake wameona hizo weaknesses na watazifanyia kazi kwa mechi tisa zilizobaki
Hongereni wana Blues wote
Today he had a bad day...
Hongereni kwa ushindi....ni heri Rentboys wachukue EPL, lakini si Goons ama Shitty...
Mkuu Kituko habari za masiku kaka?
Chelsea walifanya marekebisho ya makosa ya ktk mechi hiyohiyo ya jana, unaweza kuniambia Hull City walitushambulia wapi tena ukiondoa zile shuti tatu mfululizo alizookoa kipa wetu? Kwa kifupi magoli waliopata Hull City wachezaji wa chelsea walifanya makosa wao na ndio maana ata Mou kabla ya ngwe ya kwanza kuisha aliinuka na kutangulia ndali....hakupendezwa na upuuzi wa wachezaji wake....sasa kipindi cha pili waliporudi nafikiri wewe mwenyewe uliwaona hao chelsea.
Nipo Mkuu Ntuzu,
ni kweli half ya kwanza tulifanya makosa ambayo ni adimu sana kufanyika kwenye timu ikiwa chini ya MOU, hayo makosa ya ulinzi naona yanendelea tangu ile siku na PSG tulipofungwa magoli ya vichwa huku wafungaji wakiwa hawajakabwa kabisa, kwenye kona tatu vilipgwa vichwa vitatu na viwili vikawa ni goli, Mechi ya So'ton pia kuna kauzembe ka kujilinda tena kalifanyika
all in all tumeshinda na kweli timu ilibadirika kipindi cha pili, lakini ilikuwa ni risk kubwa kuwaachia Hull warudishe hizo goli mbili
Ubingwa kwa tmu gan wakat beki yenu inamababu weng na kuna uwezekano wa kupoteza point zaid y Tisa SSA ubingwa mnatoa wapi😀