"I learnt how to fall safely. ...Mfano?
Link Eden Hazard says judo training has helped him become top player | GiveMeSport
Mentor, natumai utakuwa umejiridhisha juu ya "uhuni" anaofanya huyu kijana kama ulikuwa hulielewi hii janja yake.
"I learnt how to fall safely. ...Mfano?
Chelsea leo mpo Monaco au Arsenal?
Natamani niseme Arsenal, ila mnajua wote kuwa Arsenal wameenda kukamilisha ratiba tu
Mnaomba ucku na mchana Arsenal waage ila ngoja mshangae mwisho wake
Kupenda kunatia upofu.Nonda sijaona mahali palipoonesha kuwa anajiangusha tu. Yeye mwenyewe amemeambiwa Mou, huenda aliteleza and it appeared a foul.
Hujanionesha popote...hujaprove chochote!!!
Nonda sijaona mahali palipoonesha kuwa anajiangusha tu. Yeye mwenyewe amemeambiwa Mou, huenda aliteleza and it appeared a foul.
Hujanionesha popote...hujaprove chochote!!!
Ok, Huwa anafanya marshal arts huwa hajiangushi.Nonda sijaona mahali palipoonesha kuwa anajiangusha tu. Yeye mwenyewe amemeambiwa Mou, huenda aliteleza and it appeared a foul.
Hujanionesha popote...hujaprove chochote!!!
Jaman vip man city jana?
geroud ni mbovu by nature ata magoli yake mengi ni ya kubahatisha bahatisha kwasababu sio mbunifu
Huyu kijana ni mzuri lakini pia ana tabia ya kujiangusha angusha ovyo. Huwa amejiweka tayari kujiangusha
Ushabiki ukiwekwa pembeni kuna uhusiano wa ku-dribble na kuchezewa rafu. It is well know that players who dribble are the most fouled.
Hazard, Sanchez, Sterling, Moses ni moja ya top dribblers in the Premiership na ndo wanaongoza kwa kufanyiwa rafu nyingi.
Ila kuna watu kama Oxlade-Chamberlain wanadribble lakini wamefanyiwa rafu chache.
Sababu inaweza kuwa mashambulizi mengi yanaanzia kwa watu kama Messi, Hazard, Sanchez na Sterling so they have to be stopped ASAP kuepusha mashambulizi.
Mkuu Eli79 mariking ya mabeki kwa strikers tishio huo kubwa sn. Nakumbuka Luca Tony ktk WC pale Germany mwaka 2006 alikwenda akiwa Top scorer kutoka Italy lkn alipocheza alikua hafungi magoli kabisa kwasababu mabeki wote walikwenda wakijua kua Tony ni hatari na kuongeza marking sn kwake.....nakumbuka alifunga goli moja tu kama sijakosea ktk mashidano yote. Kwahiyo ata hawa jamaa kina Geroud na Costa wanapokwenda CL wanakuta mabeki wamepewa maagizo kua hawa ni wafungaji hatari na kuongeza umakini ktk kuwakaba.