Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,283
Well said Ntuzu. I support and concur with you. tunachopaswa kufanya tu ni kuhakikisha hatujisahau na hili Maurinho keshalisemea kuwa hakuna complacency. tofauti na timu nyingine, hizi sare na ushindi wa 1-0 ndio matokeo ya kushuka kwetu kidogo kwa kiwango. sasa kama ukishuka kiwango unatoa sare, je kiwango kikirudi itakuwaje? nadhani hatuna sababu ya kupanda mzuka wana Blues. sana sana tuendelee tu kuumia kwa kuondoka kwenye CL. Lkn EPL msimu huu ni letu kabisa.
Last edited by a moderator: