Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
FT chelsea 0-PSG 2
Nakemea kauli hii ishindwe nna ilegee
FT chelsea 0-PSG 2
Hata watangazaji hawakubali hii red card
Refa kachemsha , Oscar ame over react
Ibra nje, lakini to be honest haikuwa red card, maana kulikuwa hakuna open foot, Chelsea tuna advantage sasa ya mtu mmoja,
dhambi ya ubaguzi inaanza rasmi kuwatafuna leo mnatupwa nje
Ebu sema wewe kwanini ile ni red card??
yule forward maarufu na wa kutisha wa PSG amepewa red card