Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Its hard to predict the score line, we can see a 1-0 or 4-3
 
Nackia ibrahimovic hatocheza nimeona kwenye tbc taarifa ya habari za michezo.
 
Kwa harakaharaka kutokana na maoni yako naoana unapendekeza chelsea ishambulie zaidi au icheze kitimu zaidi kwa muda wote hii itakua ni njia rahisi ya kuisukuma PSG nje ya haya mashindano......sasa hii kz wafanye kina nani sasa? unaweza ukanipangia kikosi amabacho unaona hichi kitawasimamisha PSG ata km wakija vipi na wakati huo huo ukmbuke kua hawa PSA wanajua nafasi yao ya kusonga mbele ni ndogo sn hivo njia sahihi kwa wao ni kucheza kufa na kupona na kufunguka zaidi....wewe unaonaje hilo mkuu?
PSG wanajua chance yao yakupita ni ndogo??? kwa msingi upi subiri baada ya dk 90 ndio useme hivyo otherwise ur wrong..........
 
Chelsea: Courtois; Ivanović, Cahill, Terry, Azpilicueta; Matić, Fàbregas, Ramires, Oscar, Hazard; Diego Costa. #UCL
 
Paris: Sirigu; Thiago Silva, Marquinhos, David Luiz, Maxwell; Thiago Motta, Matuidi, Verratti, Pastore; Cavani, Ibrahimović. #UCL
 
Nimeangalia livescorer ibra yupo, sasa hawa tbc michezo cjui nn
 
Wakuu kwa wale wanaofuatilia Mpira kwenye internet na siyo TV ni website gani nzuri ya kuangalia mpira bila kuzingua?
Masada jamani

Stream2watch hapo fresh sana Ila stability
inategemea watu wangapi wanaangalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom