everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Mamito unataka kuniambia ni mikwara Tu ya Mou na hakuna lilote? Au ni kweli yawezekana Chelsea wametrain an kiasi kwamba mchezo wa Leo utakua ni rahisi kwao?
Kakiandaa kikosi vizuri kachombeza na mikwara juu, mkwara unasaidia sana ingawaje sometime unaleta hasira kwa mpinzani akushambulie kwa nguvu zote, katika dau PSG walilotangaza kwa wachezaji wao halafu Mou naye alivyowajibu we unafikir PSG wanajiskiaje kwa sasa? Kuna 2 ambayo yanaweza tokea ....wanaweza ndo wakawa na Ari ya kushambulia zaidi au wakaingia na ari ya uoga zaidi.