Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,283
hii game itakuwa ngumu sana ... au unaweza shangaa ikawa nyepesi sana. it all depends on the perfection ya strategy za kila timu. nakumbuka mwaka uleeee, chelsea ilimpiga Barcelona (ya akina Ronaldinho) bao 3 ndani ya dkk 15 za kwanza...enzi za akina Damien Dunn, Arjen Robben na wengineo chini ya huyu huyu Maurinho. Nna gut feelings kuwa Maurinho atataka kuirudia ile strategy ya kupata mabao walau mawili ndani ya 30 minutes za mchezo wa kasi sana ili kuwatibua PSG. na kwa kasi hiyo nadhani atahitajika kucheza 4 - 3 - 3 au 4 - 1 - 2 - 2 -1 wakiwemo Hazard, Willian na Ramires ili waweze kukimbiza sana. of course Costa atakuwa kule mbele kabisa. kwa mawazo yangu timu itakayoanza kwa formation zote hizo mbili itakuwa:
golini: Courtois (urefu wake ni advantage against urefu wa Ibra
Mabeki wanne ni:
1. Ivanovic
2. Azp
3. Zouma (nguvu na kasi ili amdhibiti Ibra)
4. Terry
Midfield mkabaki libero mbele ya mabeki
1. Matic (atakuwa pekee immediately mbele ya mabeki kuzuia buoyancy ya midfield ya PSG
Midfield wakabaji na watawanyaji mipira:
2 midfields:
Faby na
Ramires watakuwa katikati ya dimba (mbele ya Matic) ili kutawanya mipira kushoto na kulia kwa attacking midfields wakimbizaji yani
2. attackers: Hazard na Willian
1. Stricker wa mwisho, Costa.
kwa formation hii ambayo itakuwa ikibadilika kuwa 4-3-3 kwa Ramires kuongezeka kwenye kukimbiza huku Fabrigas akisogea mbele kukaribia D ya PSG tutakapokuwa tunashambulia itamfanya Ramires aweze kupanda na kushuka kwa kasi na mapafu yake ya mbwa.
sitegemei mchezo kuanza kwa taratibu au sisi kupack basi tukisubiri counter attacks. nategemea kuwarudisha nyuma PSG ili akina Cavani warudi kusaidia ulinzi. defensively tukishambuliwa tutaanza kukaba tokea kwenye 18 ya PSG. Hazard na Willian na hata Costa wataanza kukaba immediately tukipoteza mpira. na kama willian atakuwa akikaba akiwa kwenye position ya 18 ya PSG upande wa kulia, basi tegemea Hazard atakuwa ameanza kushuka kurudi kwa Azp upande wa kushoto, same as Fab. hii itaongeza watu 2 mpaka 3 katikati ya uwanja in addition to uwepo wa Ramires na Matic. hivyo tukishambuliwa tayari tutakuwa kwenye 4 - 5 - 2 mode immediatey ili kupunguza nguvu za midfield ya PSG kupeleka mipira pembeni au kukata chenga. tutakuwa makini sana na set pieces manake uwepo wa Ibra na Cavani hewani unaweza sumbua.
Binafsi nadhani tutafurahi kuwa mashabiki wa Chelsea kesho manake level ya elevation ya uchezaji itakuwa juu sana. nadhani baada ya kesho ndipo ubingwa utakuwa de facto stamped kwetu kwa kiwango cha juu sana cha uchezaji na precision tutakachokionesha. nawaonea raha na gere mashabiki watakaokuwa uwanjani, manake viti havitakalika kwa sehemu kubwa sana ya mchezo wa kesho!!! na Mungu atubariki Chelsea kesho!!
golini: Courtois (urefu wake ni advantage against urefu wa Ibra
Mabeki wanne ni:
1. Ivanovic
2. Azp
3. Zouma (nguvu na kasi ili amdhibiti Ibra)
4. Terry
Midfield mkabaki libero mbele ya mabeki
1. Matic (atakuwa pekee immediately mbele ya mabeki kuzuia buoyancy ya midfield ya PSG
Midfield wakabaji na watawanyaji mipira:
2 midfields:
Faby na
Ramires watakuwa katikati ya dimba (mbele ya Matic) ili kutawanya mipira kushoto na kulia kwa attacking midfields wakimbizaji yani
2. attackers: Hazard na Willian
1. Stricker wa mwisho, Costa.
kwa formation hii ambayo itakuwa ikibadilika kuwa 4-3-3 kwa Ramires kuongezeka kwenye kukimbiza huku Fabrigas akisogea mbele kukaribia D ya PSG tutakapokuwa tunashambulia itamfanya Ramires aweze kupanda na kushuka kwa kasi na mapafu yake ya mbwa.
sitegemei mchezo kuanza kwa taratibu au sisi kupack basi tukisubiri counter attacks. nategemea kuwarudisha nyuma PSG ili akina Cavani warudi kusaidia ulinzi. defensively tukishambuliwa tutaanza kukaba tokea kwenye 18 ya PSG. Hazard na Willian na hata Costa wataanza kukaba immediately tukipoteza mpira. na kama willian atakuwa akikaba akiwa kwenye position ya 18 ya PSG upande wa kulia, basi tegemea Hazard atakuwa ameanza kushuka kurudi kwa Azp upande wa kushoto, same as Fab. hii itaongeza watu 2 mpaka 3 katikati ya uwanja in addition to uwepo wa Ramires na Matic. hivyo tukishambuliwa tayari tutakuwa kwenye 4 - 5 - 2 mode immediatey ili kupunguza nguvu za midfield ya PSG kupeleka mipira pembeni au kukata chenga. tutakuwa makini sana na set pieces manake uwepo wa Ibra na Cavani hewani unaweza sumbua.
Binafsi nadhani tutafurahi kuwa mashabiki wa Chelsea kesho manake level ya elevation ya uchezaji itakuwa juu sana. nadhani baada ya kesho ndipo ubingwa utakuwa de facto stamped kwetu kwa kiwango cha juu sana cha uchezaji na precision tutakachokionesha. nawaonea raha na gere mashabiki watakaokuwa uwanjani, manake viti havitakalika kwa sehemu kubwa sana ya mchezo wa kesho!!! na Mungu atubariki Chelsea kesho!!