Asante sn mkuu...
Asante pia mkuu,
Naona nyote nyie mmepanga Oscar kwanini asiwe Ramires, kuna tofauti gani kwa hawa wachezaji wawili wakuu?
Alafu mkuu ligera na Root naona mmepishana ktk swala la mfumo upi chelsea itumie mmoja amesema tushambulie sn na mwingine kasema tusishambulie....... na wote mmetoa sababu nzuri za kusema hivo na mimi kwa mtazamo wangu naona tujeze kwa tahadhali sn ata km tutashambulia lkn tuhakikishe nyuma hatufanyi makosa.
ikumbukwe kwamba psg hawana tofauti na barca hivyo kucheza game la kushambulia tutafungwa nyingi wakuu. hili game ni la kujirinda zaidi huku tukishambulia kwa timing sana
Last edited by a moderator: