Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ivanovic: Growing
together

According to Branislav Ivanovic, our victory at
Upton Park might well be one of the most
important of the season because it followed a
cup final success.
Returning to league action so soon after winning the
Capital One Cup was never likely to be easy and so it
proved, but the Blues battled hard in east London to
secure three more vital points.
In his analysis of the game, Ivanovic acknowledged
the potential significance of the result.
‘We knew what we had to do,’ he said. ‘We knew it
was another final for us after Man City lost their
game [against Liverpool on Sunday].
‘It was up to us to not give them an opportunity to
close the gap again. We are one step closer but
there’s still a long way to go.
‘After a great final and winning the cup it was very,
very important. It was of the same importance if not
more important than our other games because it was
after the final.
‘The team is slowly growing together and giving good
performances,’ continued the right-back. ‘Even when
we have a bad day we get some points and we win
some games.
‘We played well enough to win against West Ham; we
had a couple more chances to kill the game but in the
end we are so happy with the three points, especially
as we don’t have a game at the weekend.’
That is because our involvement in this season’s FA
Cup ended at the fourth round stage, so instead
attention now turns to the visit of Paris Saint-
Germain on Wednesday evening.
We welcome Laurent Blanc’s side to Stamford Bridge
for the second leg of our Champions League last 16
tie, currently delicately poised at 1-1. Ivanovic thinks
our preparations will be aided because we don’t play
this weekend.
‘For us as a team it’s very good because we will
have time to refresh ourselves and at the same time
work and prepare for the game in detail. For sure we
will be ready.
‘We had a great result in Paris but it doesn’t make
any difference preparing for the next game. We have
to go to try and win and not think we have an
advantage.
‘The games are coming and every one is more
important than the previous one. We are 100 per cent
focused on the Champions League now because we
want to go through.’
 
Personally Salah, Cuadrado na Willian bado hawajaniridhisha kuimudu hiyo position ya right winger.

Kwa Chelsea tuitakayo either waongeze bidii au someone else needs to b recruited.

Mkuu Willian ni bora kuliko hao wote. Na huyu Cuadrado asipobadilika atakalia bench sn ingawa namuona ana bahati ya kupewa nafasi ya kucheza lkn inabidi akomae sn vinginevo Willian atakua chaguo la kwanza la Mou ktk hiyo nafasi.

Kati ya hawa mwenye ahueni ni Willian, napenda kumuangalia huyu na kama akipewa mechi nyingi basi anaweza kuja kuwa tishio kubwa.

Tatizo la Willian ni mpira wa mwisho, anaweza akapiga chenga watu sita halafu hilo boko atatoa hutaamini, halafu target yake golini kama Mateja Kezman........Oscar ana mechi chache kwa Willian lakini ana assists na goals mingi kuliko Willian

Naam hilo ni kweli kabisa, nadhani pumzi ndogo inachangia na uselfish pia. Ndiyo maana nimesema akipewa mechi nyingi kwani hilo linaweza kumuongezea pumzi na pia akiacha kubutuabutua na kuwapa vyumba wenzie asssits zake zinaweza kuwa juu sana kuliko mchezaji mwingine yeyote wa Chelsea.

Huu uzito usemao mimi nadhani unasababishwa na pumzi, akiweza kuongeza pumzi au kuacha upigaji chenga wa wachezaji wanne au zaidi na hivyo kupoteza pumzi yake anaweza kuwa tishio sana kwa ufungaji au kutoa assist. Ukishapiga chenga wachezaji wanne na kama pumzi yako ni mgogoro basi concentration yako hupotea hivyo hata ukijaribu kufunga inakuwa si rahisi au utapiga nje au weak shot ambayo ni nadra sana kufunga. Haya ndiyo maoni yangu ila kusema kweli pamoja na haya napenda sana kumuangalia huyu.

Willian ni mmoja wa wachezaji wazuri sana ktk Chelsea. anafanya mambo mengi sana uwanjani. anakaba sana, anapanda kwa kasi kwenye counter, anaweza kukimbia na mpira na occasionally anafunga. Of course nadhani alipokuwa Schalter alikuwa mzuri zaidi kwa vile alikuwa anacheza midfield katikati ambayo nahisi anapapenda zaidi tofauti na right wing ambako anachezeshwa Chelsea. Tatizo lingine ni kuwa huwa anasimama sana na mpira kiasi kwamba maadui wanarudi kuziba. angekuwa anaachia mipira yake mara moja, angekuwa mbaya zaidi!!! Lkn naamini bado anapanda kiwango na atakuja kuwa mbaya zaidi mwakani. nampenda pia kama a person. hana makuu na ni mvumilivu asiye na hasira za haraka. ktk hilo yuko kama Hazard tu. atachezewa rafu atamtazama refa tena kwa kunyanyua mikono juu...i like the guy kwa ujumla. a disciplined young fella

Angekuwa hana impact unadhani Mounriho angemuanzisha mechi 10 mfululizo? Siyo kila mchezaji anaweza kuwa na positive impact kila mech lakini kocha anatambua umuhimu wake wa kuwepo uwanjani pamoja na mapungufu yake kwa kujua fika ana uwezo wa kubadili matokeo ya mchezo wakati wowote ule, kama si hivyo angekuwa anasugua makalio yake kwenye bench wiki nenda wiki rudi.


Wakuu nilikua taiti kidogo wakati huu mjadala mzuri mlipokua mnaendesha juu ya Willian.

Binafsi namkubali sn Willian ni bomba la mchezaji mpk inapelekea kua nisione tatizo lolote lile kwake bali km anakosea ni makosa ya kawaida tu ya uwanjani ambayo mchezaji yoyote hufanya.

Mmezungumzia mambo mengi kujaaribu kuona uzuri na mapungufu ya huyu mchezaji na kuna baadhi wamesma labda pumzi ni shida. lkn ktk hili la pumzi mimi sikubaliani nalo maana huyu dogo kwa pumzi yuko vzr sn km kina Matic na Ramires na Hazard.

Huyu dogo ni kweli wakati kabla hajaja chelsea alikua mzuri zaidi lkn baada ya kuja chelsea amebadilka kitu nachoweza kusema sasaivi Willian anacheza mpira wa nguvu sn na kujituma wakati tofauti na kule alipokuwepo na hii inatokana na kocha kumpangia namna ya kucheza kwa maslahi ya timu. Mourinho amefanikiwa kiasi kikubwa kumbadilisha Willian ktk uchezzaji wake sasaivi Willian yuko defensive sn kuliko kuattack na jinsi anavopangwa uwanjani na kupewa majukumu ni tofauti na Hazard. Nafikiri km mnakumbuka msimu uliopita Hazard alipishana na kocha wake ktk kupewa majukumu sn. sasa tunaona msimu huu kapunguziwa kz sn hasa ktk swala la ukabaji, anakuja kukaba lkn sio sana vile km Willian. Kwahiyo Willian anacheza hivo kwa maelekezo ya kocha wake na ukweli ni kwamba dogo anajitahidi sn maana anakaba sn na anatoa mipira chini na kuipandisha mbele anasaidia counter attack nyingi na ule upande anaocheza mara nyingi Ivanovic anapenda sn kupanda na huyu dogo anamsaidia sn kuziba hayo magape na pia huyu dogo anambio sn na hapotezi mpira pindi akiwa anadrible, kwa kifupi huyu dogo ana vitu vingi sn amabavo unaweza kuvielezea lkn kubwa ninalo liona mpira wake sasa umekomaa na kama ataambiwa acheze bila kurudi nyuma kukaba basi atafanya mambo mazuri sn.

Ningependa sn siku ya PSG nimuone pale ktk safu ya viungo Matic na Ramires. Willan, Faby na Hazard alafu mbele awe Costa. Alafu wajitume kwa asilimia mia.....David Luiz lazima apasuke.

Niwashukuru sn kwa michango yenu juu ya hili.
 
Nani ataogopa timu iko nsfasi ya sita sijui saba huko?! Huku tuachie top four we nenda kashindane na Tottenham au Swansea au west ham

Week ijayo wewe unakuwa wa 7!Kumbuka ni points 2 tu inayotenganisha wa 5 na wa 4

Week ijayo mm nacheza na Swansea ambao hata kocha Monk anajua kama anapoteza kwa Majogoo na ww unacheza na Hurricane Totenham-Hautoki
 
hivi bingwa wa epl anapata kitita kiasi gani wakuu, vipi bingwa wa kombe la curing na FA
 
Chelsea na man city wanagombea ubingwa
Man utd,arsenal,Southampton wanagombea 3/4
Tottenham,Liverpool,westham wanagombea nafasi ya tano!

Hau make hata sense!Kama issue ni points nyingi iweje Soton agombee CL spot wakati kapitwa points na Majogoo?

Najua una kihoro sasa cha kukosa CL tena mwakani!Kiwango kibovu kama hiki mkicheza CL nyie naacha ingia hapa
 
Hau make hata sense!Kama issue ni points nyingi iweje Soton agombee CL spot wakati kapitwa points na Majogoo?

Najua una kihoro sasa cha kukosa CL tena mwakani!Kiwango kibovu kama hiki mkicheza CL nyie naacha ingia hapa

Ila wewe ulio nafasi ya ngapi sijui una make sense kuogopwa na waliokuzidi kila kitu??!
 
Nafikiri itakua tarehe 9 mwezi wa tano karibu na ligi kuisha hiyo mechi ndio tutakabiziwa kombe mbele ya LFC

msimu uliopita ktk mechi za mwisho mwisho sisi ndo tulivuruga ndoto za Liverpool kupata ubingwa. ni zamu yao na wao mwaka huu kulipiza kisasi na kutuvurugia mipango ya ubingwa....that's kama wana uwezo wa kufanya yale tuliyowafanyia wao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom