Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,369
Nimemaliza kifungo changu mkuu
Hongera aisee
Nimemaliza kifungo changu mkuu
hii timu yetu kuna kitu huwa sielewi,ikicheza na timu ndogo utaona kama haichezi poa ingawa inashinda,wakikutana na na timu kubwa ndo utajua wanatisha
Juventus 1-2 Fiorentina: Mohamed Salah shows Chelsea what they're missing with superb brace to take tally to six in seven
- Juventus lost at home for the first time in 48 matches
- They were beaten in the Coppa Italia semi-final first leg
- Mohamed Salah, on loan from Chelsea, scored twice
- The Egyptian forward has now scored six goals in seven games
Read more: Juventus 1-2 Fiorentina: Mohamed Salah shows Chelsea what they're missing with superb brace | Daily Mail Online
Hivi huwa mnajuae fulani kapewa ban? huwa kuna namna inatangazwa au?
Kati ya hawa mwenye ahueni ni Willian, napenda kumuangalia huyu na kama akipewa mechi nyingi basi anaweza kuja kuwa tishio kubwa.
Usham-write off Cuadrado?
Akipewa mechi nyingi? Excuse me sir....katika mechi kumi za mwisho Willian has started nine...na katika hizo kumi sijaona impact yake to be honest.
Impact anayo labda kama hutaki kuiona.
http://www.espnfc.com/blog/the-matc...lsea-crucial-win-vs-evertonwrites-michael-cox
One game impacts sio ninachoongelea.
Imagine Ivanovic has contributed more to the attacking than he has!!!
Impact yake ni kukimbia mbio kama swala, chui ,huu ni uzuri wake na kujiangusha angusha ili chelsea ipate free kick au penalty (cheating). Katika hali hiyo ameisaidia/ anaisaidia Chelsea.Impact anayo labda kama hutaki kuiona.
Willian late goal gives Chelsea crucial win vs. Everton, writes Michael Cox - ESPN FC
Angalia post za nyuma kidogo, kuna mdau anajua timu yangu ni Bradford , Yeye ananiita Mr. Bradford. Timu hiyo haichezi katika epl. Au umenichagulia timu ingine? Nijulishe...ipi hiyo?Sorry mdau Nonda ktk post yangu kulikuwa maswali mawili ulijibu moja au ni hofu tu ya ubovu wa timu yako na unafahamu ndoo ya epl inaenda wapi
Impact yake ni kukimbia mbio kama swala, chui ,huu ni uzuri wake na kujiangusha angusha ili chelsea ipate free kick au penalty (cheating). Katika hali hiyo ameisaidia/ anaisaidia Chelsea.
Impact yake ni kukimbia mbio kama swala, chui ,huu ni uzuri wake na kujiangusha angusha ili chelsea ipate free kick au penalty (cheating). Katika hali hiyo ameisaidia/ anaisaidia Chelsea.
Impact yake ni kukimbia mbio kama swala, chui ,huu ni uzuri wake na kujiangusha angusha ili chelsea ipate free kick au penalty (cheating). Katika hali hiyo ameisaidia/ anaisaidia Chelsea.
Umeelewa nini uliposoma mchango wangu?Football gan watu hawakimbii wala kuanguka au imekuwa draft. Hiv hujui kuwa mbio pia ni chenga? Refer cr7.
Kwa hiyo, Willian anakimbia kama kobe?Nimeelewa sana, lkn ndan ya football kuna vtu ving sn OK mwenye sifa ya mbio had sasa n Gareth bale, akifuatiwa na cr7 na tatu n Torres, wanaoanguka n Ashley Young ndan ya Chelsea anaeongoza kwa kuangushwa n hazard, suala LA mbio wilian unamwongopea tangu Lin MTU mfupi akawa na mbio