Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Last edited by a moderator:
Meanwhile yesterday-22/02/2015-was Ivanovic's birthday!!!

Umerudi Chelsick baada ya kuona Mancs wanagwaya? We jamaa hatari sana kaa na timu moja! khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakuu lets concentrate kwenye kabumbu haya matusi hayastahili kabisa kwenye majukwaa ya michezo Invisible muwe mnatembelea na huku

Tatizo kuna mtu anatafuta wanaume thread hii, wakati zip nying kuna Madrid,aids,liva,man u, city ila ye kakomaa humu tu. Hapo ka si uchawi n nn
 
Last edited by a moderator:
We jamaa una matatizo ya akili......sio bure.
Kalou hili la matatizo ya akili umelidhihirisha wewe kwa jinsi ulivyoporomosha matusi katika hii thread. Duu! Matusi kama mvua za masika.
Namshaurini wewe na Wacha1 m-delete wenyewe zile post ambazo mliamua kuudhi watembelea wa jukwaa hili. Ni ushauri tu.
Kuna na jamaa nae alianza kutaja mambo ya "mama za watu." Hivi ni ushabiki wa aina gani huu?
Link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1127.html#post11969863
 
Angalia mwanzoni kabisa mwa video uliyoiweka.

Barnes won the ball but caught Matic high up on his shin with studs showing.

link BBC Sport - Ashley Barnes: FA take no action over Nemanja Matic challenge

Haionekani kuwa Barnes alikwenda na nia ya kuumiza, iangalie kutoka angles tofauti. Angalia replay 0:08 vizuri.

Hivi nonda ulishawah kucheza mpira Wa miguu? Swali hili ni kwa nia njema tu, alichokifanya Barnes ni ile unapiga mpira halafu mguu huo huo unautua kwa nguvu kweny mguu Wa mpinzan wako hapo unakuwa umeuvunja kabisa,

Mwangalie barn aliamka kaanza kutembea na kugeuka kumwangalia matic pale chin dhamira n kutaka kujua ule mguu n vp, kilicho mwokoa matic mguu wake wakati unakitwa aliulegeza kama angekuwa kaukaza habar angeipata mkumbuke Eduardo Wa arsenal alivunjika kwa stail tofaut kdogo sana na hiyo ya matic .

Nonda km hujui mbinu hiz uwanjan ukikaa kimya sio mbaya sana kumbuka essien akiwa Chelsea alifungiwa mechi tatu na fine za kumwaga kwa kuingiza mguu kwa stail za barn kwa mech tofaut tofaut

Chukua mfano km mati ndo angekuwa amecheza vile refa asinge mkawiza. There is something wrong btn Chelsea and FA or mou and FA. Ila tunyamaze maisha yaende.
 
Hivi nonda ulishawah kucheza mpira Wa miguu? Swali hili ni kwa nia njema tu, alichokifanya Barnes ni ile unapiga mpira halafu mguu huo huo unautua kwa nguvu kweny mguu Wa mpinzan wako hapo unakuwa umeuvunja kabisa,

Mwangalie barn aliamka kaanza kutembea na kugeuka kumwangalia matic pale chin dhamira n kutaka kujua ule mguu n vp, kilicho mwokoa matic mguu wake wakati unakitwa aliulegeza kama angekuwa kaukaza habar angeipata mkumbuke Eduardo Wa arsenal alivunjika kwa stail tofaut kdogo sana na hiyo ya matic .

Nonda km hujui mbinu hiz uwanjan ukikaa kimya sio mbaya sana kumbuka essien akiwa Chelsea alifungiwa mechi tatu na fine za kumwaga kwa kuingiza mguu kwa stail za barn kwa mech tofaut tofaut

Chukua mfano km mati ndo angekuwa amecheza vile refa asinge mkawiza. There is something wrong btn Chelsea and FA or mou and FA. Ila tunyamaze maisha yaende.

Angalia video dalika 0:08...halafu ndio maisha yaendelee.

Wewe umechezea timu ipi? Au unacheza mpira kwa mdomo tu?

Mnalalamika kwa sababu mnajua ubingwa ndio unapotea kama msimu uliopita.
Tulieni tu sindano iwaingie vizuri. Tulimwambieni domo la Mou litai-cost Chelsea sana. Mlitubeza,Mnatubeza, mnaatutukana.
Mmebebwa sana mwanzoni mwa msimu na hamkuwa mkilalalmika sana, sasa mnaona timu zingine zinamsogeleeni kuwapiku mnalilia huruma ya waamuzi. Mnajifanya victim.

Sasa msatahamili machungu mambo yakiwa hayaendi kama mlivyotarajia, mjitayarishe kwa msimu ujao na mpunguze majisifu na kuwadharau wingine.
 
Angalia mwanzoni kabisa mwa video uliyoiweka.

Barnes won the ball but caught Matic high up on his shin with studs showing.

link BBC Sport - Ashley Barnes: FA take no action over Nemanja Matic challenge

Haionekani kuwa Barnes alikwenda na nia ya kuumiza, iangalie kutoka angles tofauti. Angalia replay 0:08 vizuri.

Martin Atkinson: Referee 'needs break after incompetent display'

By Simon StoneBBC Sport

Martin Atkinson needs a rest after his "incompetent" officiating display in Chelsea's 1-1 draw with Burnley, says former referees' chief Keith Hackett.
Saturday's game was Atkinson's 32nd of the season and came fewer than 72 hours after he took charge of Real Madrid's Champions League win at Schalke.
His next game in charge is Southampton against Crystal Palace on 3 March.
Hackett said: "Champions League games are tiring. Martin should have been given an additional day to recover."
Atkinson won't referee a game this weekend, but there is a shortened Premier League fixture list because of the Capital One Cup final.
However, he is fourth official at Manchester United's home game against Sunderland on Saturday.
Blues boss Jose Mourinho said Atkinson got four key decisions wrong.
Atkinson sent off Chelsea midfielder Nemanja Matic for pushing Ashley Barnes to the ground in the 70th minute of Saturday's game.
 
Angalia video dalika 0:08...halafu ndio maisha yaendelee.

Wewe umechezea timu ipi? Au unacheza mpira kwa mdomo tu?

Mnalalamika kwa sababu mnajua ubingwa ndio unapotea kama msimu uliopita.
Tulieni tu sindano iwaingie vizuri. Tulimwambieni domo la Mou litai-cost Chelsea sana. Mlitubeza,Mnatubeza, mnaatutukana.
Mmebebwa sana mwanzoni mwa msimu na hamkuwa mkilalalmika sana, sasa mnaona timu zingine zinamsogeleeni kuwapiku mnalilia huruma ya waamuzi. Mnajifanya victim.

Sasa msatahamili machungu mambo yakiwa hayaendi kama mlivyotarajia, mjitayarishe kwa msimu ujao na mpunguze majisifu na kuwadharau wingine.

Basi, kifupi kumbe hujui football, jiulize hao marefa waliotubeba mwanzon sasa hv kwa nn wasiendelee kufanya hivyo au ndo kampen? Kumbe unamchukia the special kwa maneno yake hao makocha wanaoongea vzr wako nafasi ya ngapi

Ntuzu amekwambia ' nonda ktk ubora wake' fikiria amemaanisha nn? Au nayo n km maneno ya special? We jamaa tabu saaana
 
Angalia video dalika 0:08...halafu ndio maisha yaendelee.

Wewe umechezea timu ipi? Au unacheza mpira kwa mdomo tu?

Mnalalamika kwa sababu mnajua ubingwa ndio unapotea kama msimu uliopita.
Tulieni tu sindano iwaingie vizuri. Tulimwambieni domo la Mou litai-cost Chelsea sana. Mlitubeza,Mnatubeza, mnaatutukana.
Mmebebwa sana mwanzoni mwa msimu na hamkuwa mkilalalmika sana, sasa mnaona timu zingine zinamsogeleeni kuwapiku mnalilia huruma ya waamuzi. Mnajifanya victim.

Sasa msatahamili machungu mambo yakiwa hayaendi kama mlivyotarajia, mjitayarishe kwa msimu ujao na mpunguze majisifu na kuwadharau wingine.

Nonda usijali timu yako unayoipenda itachukua ndoo hapo mei
 
Kalou hili la matatizo ya akili umelidhihirisha wewe kwa jinsi ulivyoporomosha matusi katika hii thread. Duu! Matusi kama mvua za masika.
Namshaurini wewe na Wacha1 m-delete wenyewe zile post ambazo mliamua kuudhi watembelea wa jukwaa hili. Ni ushauri tu.
Kuna na jamaa nae alianza kutaja mambo ya "mama za watu." Hivi ni ushabiki wa aina gani huu?
Link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1127.html#post11969863




Nafahamu umeongea kimafumbo lkn hiyo haina shida umefikisha ujumbe kwamba wewe una akili ila hao ndio wenye matatizo ya akili....lkn na wewe pia uache kupost utumbo hapa. Sijui siku chelsea ikichukua ubingwa utakuja kufuta post zako utumbo hapa km Mou alivowaambia FA waiombe msamaha chelsea kwa kumfungia Costa na kumuacha huyo jamaa alietaka kumvunja mguu Matic?
 
Kuna watu wanaandika humu kwenye hili jukwaa la Chelsea kwa lengo la kuudhi wenzao. Najiuliza bila majibu kwanini watu hawachambui mpira ili wengine wanufaike, ina maana siku hizi hakuna mashabiki wenye weledi?

Japokuwa wote sisi wote ni mashabiki wa timu tofauti, lakini wakati mwingine tupunguze hisia za kishabiki na chuki ili tuzungumze mpira, tuwe wakweli. Timu pinzani inapofanya vizuri toa pongezi, na hiyo ndio maana ya michezo.

Ushabiki wa chuki(ushabiki wa kishamba) utasababisha watu kutukanana kila siku ambacho sio kitu kizuri hata kidogo.

Ni wakati sasa kila mmoja ajitambue, maana inaonekana watu wengi hawajitambui. Humu wote hatujuani, inawezekana wengine wapo kwenye 'adolescence age', kwasababu wakati mwingine unasoma post halafu unajiuliza huyu aliyepost ni mtu wa aina gani?

Tubadilike.
 
Angalia video dalika 0:08...halafu ndio maisha yaendelee.

Wewe umechezea timu ipi? Au unacheza mpira kwa mdomo tu?

Mnalalamika kwa sababu mnajua ubingwa ndio unapotea kama msimu uliopita.
Tulieni tu sindano iwaingie vizuri. Tulimwambieni domo la Mou litai-cost Chelsea sana. Mlitubeza,Mnatubeza, mnaatutukana.
Mmebebwa sana mwanzoni mwa msimu na hamkuwa mkilalalmika sana, sasa mnaona timu zingine zinamsogeleeni kuwapiku mnalilia huruma ya waamuzi. Mnajifanya victim.

Sasa msatahamili machungu mambo yakiwa hayaendi kama mlivyotarajia, mjitayarishe kwa msimu ujao na mpunguze majisifu na kuwadharau wingine.

Umekomaa na 0:08 video yako ndo inaanzia hapo? Kwa nn tusianzie 0:01 had mwisho vp km angekuwa amecheza mati kwa maon yako ingekuwa n faulu au takoling jibu kiuanamichezo sio kishabiki.
 
Ha ha ha he was trying to make tackling, aisee nonda wewe kama takoling zingekuwa hivyo wachezaji wangekuwa na miguu ya bandia
The say kwa nini hutaki kuangalia hiyo video 0:08.?

Ukiangalia utaona Matic ndio alimfata jamaa na si kinyume chake.

Sina uhakika kama hata umesoma na kuelewa maelezo aliyotoa huyo EX-Liverpool.
 
Mourinho scoffed at the idea of Chelsea appealing against Matic's dismissal. "Have you ever seen Chelsea win an appeal?"
Chelsea are not appealing on the grounds of wrongful dismissal. Wanatafuta huruma tu ili Matic apunguziwe adhabu.
 
Nafahamu umeongea kimafumbo lkn hiyo haina shida umefikisha ujumbe kwamba wewe una akili ila hao ndio wenye matatizo ya akili....lkn na wewe pia uache kupost utumbo hapa. Sijui siku chelsea ikichukua ubingwa utakuja kufuta post zako utumbo hapa km Mou alivowaambia FA waiombe msamaha chelsea kwa kumfungia Costa na kumuacha huyo jamaa alietaka kumvunja mguu Matic?

The video proves you wrong.

Angalia replay 0:08 ambayo inakupa na mazingira ya tukio na sio ile tu ya 0:01. ambayo haioneshi nini kilitokea bali inaonesha daluga tu la Barnes linatua kwa mguu ya Matic.
 
Umekomaa na 0:08 video yako ndo inaanzia hapo? Kwa nn tusianzie 0:01 had mwisho vp km angekuwa amecheza mati kwa maon yako ingekuwa n faulu au takoling jibu kiuanamichezo sio kishabiki.
Bado unazungumza kiushabiki ndugu. Replay ya video 0:08 inakupa back ground ya tukio. Baada ya kuiangalia rudi kama utakuwa na msimamo wako kuwa Barnes alikusudia kumkwaa(kumpiga daluga) Matic na kumvunja mguu.
 
Umekomaa na 0:08 video yako ndo inaanzia hapo? Kwa nn tusianzie 0:01 had mwisho vp km angekuwa amecheza mati kwa maon yako ingekuwa n faulu au takoling jibu kiuanamichezo sio kishabiki.


 
Last edited by a moderator:
The say kwa nini hutaki kuangalia hiyo video 0:08.?

Ukiangalia utaona Matic ndio alimfata jamaa na si kinyume chake.

Sina uhakika kama hata umesoma na kuelewa maelezo aliyotoa huyo EX-Liverpool.

Nimeiona Mara nying sana hapo unapoongelea camera zinaonesha kwa nyuma tukio zuri ukiwaona kwa mbele angalia wakati mguu unakitwa uso Wa Barnes ulikuwa unaangalia WAP

Huyo ex livapul anapingwa na Michael Owen kwa hiyo nao wanaelekezana km sisi hapa. I want to hear from you was it foul or not?
 
Nimeiona Mara nying sana hapo unapoongelea camera zinaonesha kwa nyuma tukio zuri ukiwaona kwa mbele angalia wakati mguu unakitwa uso Wa Barnes ulikuwa unaangalia WAP

Huyo ex livapul anapingwa na Michael Owen kwa hiyo nao wanaelekezana km sisi hapa. I want to hear from you was it foul or not?
Not a foul. Matic ndio alimfata jamaa, jamaa alikuwa na mpira na wakati anapiga mpira Matic alijileta full force wakati jamaa yuko katika move ile ya kuondoa mpira. Ndio sababu mwamuzi hakutoa adhabu, sio kwa sababu hakuona. Wachezaji wa Chesea wangemzonga mwamuzi kama kawaida yao basi Barnes angepewa yellow. Lakini kama umeangalia basi hivyo ndivyo ilivyokuwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom