mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,191
- 19,115
man city 3-0 dk 34
Hata akishinda 10-0 bado anaisoma namba chini ya miguu yetu!
man city 3-0 dk 34
Si ili ligi inoge jamana? Iwe kama msimu uliopita.
Jitayarishe kwa machungu ya kuukosa ubingwa.We jamaa unaongeaga pumba tu humu kweli kwenye mchele na pumba zipo... Yani huwa huongei hali halisi, akili yako iko programmed kuongelea mieleka kweli we ni automatic pumbarizer
MKono unaufuata mpira au mpira unaufuata mkono?
Ntuzu kweli unajiaminisha kuwa Chelsea itachukua ubingwa?
Kwa mpira gani mnaoucheza zaidi ya kusukuma,mateke, kung-fu, mieleka na rugby?
Kupaki basi ndio ubora wa defense?
Kupiga mbio kwa William, Hazard, Ivanovic, Cahill na kudive ndio ushambuliaji?
Jamaa wanaudhi hasa, unawaona kabisa wanajitayarisha kujiangusha.
Kumzunguka mwamuzi ili aadhibu wachezaji wa timu pinzani au atoe maamuzi yanayoinufaisha Chelsea ndio ujanja?
Ninyi mjitayarishe kwa maumivu tu kama msimu uliopita.
Kwa kweli leo Chelsea wana haki kulalamika, mwamuzi ni kama alikua na 'agenda' binafsi against Chelsea, ile penalty aliyokataa sijui nayo tutasemaje.
Huyo jamaa aliye attempt kumvunja mguu Matic alishafanya faulo mbili 1st half, kwa Ivanovic na Zouma na hakupewa card yeyote, then ile ya Matic bado siamini jamaa hakupewa hata card ya njano
Mie sio mnazi wa Chelsea lakini I can understand Matic's reaction, tena yule dogo ashukuru huyo Matic ni mpole tu, angemfanyia vile mtu kama Diego au kule ligi ya kwetu, na yeye angekua hospital saa hizi.
Matic ni human being after all, ile haikua ordinary tackle, ilikua ni violent conduct inayoweza kumstaafisha mtu soka kabla ya muda wake.
Kwa hiyo, cChelsea ishinde hata kama inacheza boring , boring games?
Sisi wingine ni wapenzi wa kabumbu bana sio wapenzi wa Timu.
Baba yupi huyo unaemzungumzia hapo?
Unataka anaefanya kosa afutiwe adhabu/ kosa kwa sababu tu amekata rufaa?
Kwa hiyo, cChelsea ishinde hata kama inacheza boring , boring games?
Sisi wingine ni wapenzi wa kabumbu bana sio wapenzi wa Timu.
Baba yupi huyo unaemzungumzia hapo?
Unataka anaefanya kosa afutiwe adhabu/ kosa kwa sababu tu amekata rufaa?