Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie mnaomjibu huyu pinguani na nyie mnaonekana mapunguani vile vile, huyu ni wakupuuzwa tu, ukikimbizana na chizi na wewe utaonekana chizi. Huyu mwacheni abwabwaje akichoka atatulia....mtu anaongea upuuzi kila siku na nyie bado mnahangaika nae!

Huyu ni shabiki anaetanguliza chuki, anasahau michezo ni burudani. Watu kama hawa mara nyingi hawana amani mioyoni mwao, muda wote wana stress! Wanadhani kubwabwaja kutaondoa stress zao, Mara nyingi mwisho wa watu kama hawa ni kujinyonga.


Mpuuzeni, mwacheni akafie mbali.

Umekunywa nini leo? Chibuku au mbege?

Ungekaa kimya tu badala ya kujianika kichizi chizi.
Usiende kujinyonga lakini. Bora piga chibuku yako upunguze stress!

Avatar yako, imenikumbusha kuwa naongea na maiti.
 
Last edited by a moderator:
PSG vs Chelsea
Chelsea vs Burnley
Leicester City vs Chelsea
Chelsea vs Tottenham Hotspur
West Ham United vs Chelsea

Katika hizo fixtures, naona ziko 2 ambazo tutafika hapa kufanya sherehe na kukualikeni ninyi wenyeji karamu.
Mkae mkao wa kuliwa!
 
PSG vs Chelsea
Chelsea vs Burnley
Leicester City vs Chelsea
Chelsea vs Tottenham Hotspur
West Ham United vs Chelsea

PSG
Leicester
Totenham
WHU

Kazi ipo kaka,siyo ratiba nzuri hata kidogo
 
Mhhh PSG tena ugenini?Sidhani

PSG msimu uliopita ilikuwa bora zaidi kuliko msimu huu (statistics zinaonyesha) , Chelsea msimu huu ni bora kuliko msimu uliopita (hili haliitaji statistics) ..
Sisemi kama itakuwa mechi rahisi ila msimu huu chelsea ina nafasi kubwa zaidi ya kuitoa PSG kuliko ilivyokuwa msimu uliopita
 
PSG msimu uliopita ilikuwa bora zaidi kuliko msimu huu (statistics zinaonyesha) , Chelsea msimu huu ni bora kuliko msimu uliopita (hili haliitaji statistics) ..
Sisemi kama itakuwa mechi rahisi ila msimu huu chelsea ina nafasi kubwa zaidi ya kuitoa PSG kuliko ilivyokuwa msimu uliopita
Then, Good luck! Give it a try.
Yetu ni macho na masikio. Na matokeo yakiiaibisha Chelsea, mtatualika au tutajialika kuja msibani.
 
PSG msimu uliopita ilikuwa bora zaidi kuliko msimu huu (statistics zinaonyesha) , Chelsea msimu huu ni bora kuliko msimu uliopita (hili haliitaji statistics) ..
Sisemi kama itakuwa mechi rahisi ila msimu huu chelsea ina nafasi kubwa zaidi ya kuitoa PSG kuliko ilivyokuwa msimu uliopita

Nimewaona leo na Caen 2-2 kwa kweli PSG uozo mtupu!Mnawachapa hawa kiurahisi tu

Leo PSG imeoteza wachezaji wake 4 kikosi cha kwanza kwa majeruhi!Hawa should be ni mboga kwenu!Hongera kwa kuvuka
 
Nimewaona leo na Caen 2-2 kwa kweli PSG uozo mtupu!Mnawachapa hawa kiurahisi tu

Leo PSG imeoteza wachezaji wake 4 kikosi cha kwanza kwa majeruhi!Hawa should be ni mboga kwenu!Hongera kwa kuvuka

Jana b4 game na CAEN Blanc alisema amewapumzisha nguli wake 3 ibra, silva na Blaze. So ucwape moyo kwamba ni majeruh.
 
Nimewaona leo na Caen 2-2 kwa kweli PSG uozo mtupu!Mnawachapa hawa kiurahisi tu

Leo PSG imeoteza wachezaji wake 4 kikosi cha kwanza kwa majeruhi!Hawa should be ni mboga kwenu!Hongera kwa kuvuka

UEFA kitu ingine mkuu usiseme eti timu mbovu.....utakua unaota mchana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom