Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

two days until we are back in action
 

Attachments

  • chelsea.jpg
    chelsea.jpg
    33.7 KB · Views: 133
kwa kweli nilivyo na hamu na mechi ya kesho utadhani sijawaona the Blues kwa muda mrefu sana!!! kwa kweli ukiwa kwenye mashindano mengi unaishuhudia sana timu yako. weekend iliyopita hizi mechi za FA zimenifanya niwe kama yatima. yani hakuna game la Chelsea? Lakini pia baada ya kuwatazama Sunderland wakitolewa na wale vijana (Bradford) nikashukuru kuwa ni bora tulitolewa kwenye FA. FIkiria tungecheza jana J2 na Sunderland halafu kesho J4 tunacheza na PSG. Au hata mechi ya FA ingewekwa J1 halafu J4 tucheze na PSG hizi mechi zingekuwa karibu karibu sana ukichukulia tulikuwa tumecheza na Everton J5 iliyopita. Kwa kweli baada ya mechi ya J5 iliyopita tumekuwa na wiki nzima ya kujiandaa na PSG na kwa kufanya hivyo hata tumeepuka majeruhi wapya na akina Fag wamepona zaidi! na of course mzee mzima Diego is back!!!

Kwa kweli lile juma takatifu ndo linaanza. Kesho namhurumia beki wetu wa zamani manywele atakavyokimbizwa na kuzungushwa!!! NNa uhakika wa ushindi wa ugenini kesho, tena ushindi mzuri sana. Na hapo ndipo mtaona, msioamini kuwa this UEFA Champion League mwaka huu ni yetu!
 
kwa kweli nilivyo na hamu na mechi ya kesho utadhani sijawaona the Blues kwa muda mrefu sana!!! kwa kweli ukiwa kwenye mashindano mengi unaishuhudia sana timu yako. weekend iliyopita hizi mechi za FA zimenifanya niwe kama yatima. yani hakuna game la Chelsea? Lakini pia baada ya kuwatazama Sunderland wakitolewa na wale vijana (Bradford) nikashukuru kuwa ni bora tulitolewa kwenye FA. FIkiria tungecheza jana J2 na Sunderland halafu kesho J4 tunacheza na PSG. Au hata mechi ya FA ingewekwa J1 halafu J4 tucheze na PSG hizi mechi zingekuwa karibu karibu sana ukichukulia tulikuwa tumecheza na Everton J5 iliyopita. Kwa kweli baada ya mechi ya J5 iliyopita tumekuwa na wiki nzima ya kujiandaa na PSG na kwa kufanya hivyo hata tumeepuka majeruhi wapya na akina Fag wamepona zaidi! na of course mzee mzima Diego is back!!!

Kwa kweli lile juma takatifu ndo linaanza. Kesho namhurumia beki wetu wa zamani manywele atakavyokimbizwa na kuzungushwa!!! NNa uhakika wa ushindi wa ugenini kesho, tena ushindi mzuri sana. Na hapo ndipo mtaona, msioamini kuwa this UEFA Champion League mwaka huu ni yetu!

mnaliiba au ?
 
Ukishinda nakuletea kitimoto hapa hapa JF.


Na nikishinda usije hapa na visingizio, maana wewe huishiwi maneno. Natumaini utakuja hapa kunipongeza kwa ushindi mzuri wa ugenini nitakaoupata.
 
Na nikishinda usije hapa na visingizio, maana wewe huishiwi maneno. Natumaini utakuja hapa kunipongeza kwa ushindi mzuri wa ugenini nitakaoupata.
Unahitaji kupongwezwa? Wewe unawapongeza wacheza mieleka na rugby wanaposhinda? Hamna shida kama unapenda kupongezwa. Na usiposhinda, nifanye nini? Naomba mwongozo wako.
 
Nonda

Your attempts at defaming Chelsea are very poor!
 
Last edited by a moderator:
Your attempts at defaming Chelsea are very poor!
Kama huna jipya la kuandika, jikalie kimya tu. Umendika nini hapa?
Nani haelewi kuwa Chelsea inatumia hizo mbinu na pia dives za hapa na pale na kuwazunguka waamuzi ili watoe maamuzi yanayoibeba Chelsea?
Ukiwa Shabiki wa aina yako ni hatari. Unataka kusifiwa bila kuwa na sifa zenyewe?

Ntuzu na Kalou pia wanajua kuwa Chelsea iko hivyo!!
 
Nonda

Kaandike upuuzi huu kwenye jukwaa la timu yako, acha kupotosha juu ya Chelsea.

Na wala usitumie strong language kuhalalisha upumbavu wako, stay away from chelseafc.

Unamuwekea maneno mdomoni jose kwa kitu amabcho hakukisema na wala hakumaanisha hivyo ulivyomaanisha na kutafsiri wewe, na bado mwaka huu utafuga mamba bafuni.

Chelsea moto upo pale pale.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom