Nadhani wewe unachoamini ni kuwa mtu akishinda humu ndiye anajua kuchambua mpira,lakini turudi kwenye post yako niliyo kuquote kweli kama sio ukanjanja wa mpira unaweza kusema Chelsea si chochote na haina uwezo wa kuchukua kikombe
baada ya kusoma post nikaona wewe ni walewale waliokuja na mbio za mwenge,siwezi kukujibu kwa nondo maana post ilikaa kimipashopasho na mimi nikakujibu kimipashopasho.Mdau mwenzangu hata kama Chelsea huipendi embu jaribu kutumia hata akili kidogo uongee uhalisia na sio mipasho
wewe huna hoja ni ubishi wa kikanjanja
"It's very clear that what the home team are trying to do is influence the referee," Martinez told BBC Sport.
"You don't want to believe that that decision is given because of the reaction of the players. It's something that we constantly see here. We have to allow the authorities to look into it.
"Ivanovic's behaviour is wrong. He grabs McCarthy around his neck in a very forceful manner, then puts his head against him. James McCarthy doesn't react a single bit.
"If you want to be on top of the law, that's a red card and we got nothing out of that moment."
Mourinho cut short his BBC interview when asked about Chelsea's discipline.
When pressed on the latest flashpoint in a post-match interview with BBC Sport's Jonathan Pearce, Mourinho decided to walk out, telling Pearce: "Sorry, see you tomorrow."
He later conducted a short interview with Pearce in which the subject was avoided, but reacted angrily once again when the Ivanovic incident was raised during a news conference with other media.
link BBC Sport - Roberto Martinez: Chelsea players 'try to sway referees'