Willian ni mchezaji muhimu sana kwetu na kwa Maurinho. ni aina ya mchezaji ambaye Maurinho lazima ampende. dogo anajituma sana na wala halalamiki. anajua kukaba, anajua kuziba nafasi kufungua nafasi, kukimbiza counter attack na mambo kibao. kitu pekee ambacho kilikuwa kinamkimbia ni kufunga. amekuwa anapiga mashuti mazuri sana lakini yanatoka inchi chache tu ya goli au yanagonga besela. kwa ufupi hakuwa tu na bahati ya kufunga. Jana kama mlivyoona jinsi alivyoshangilia. ile shangilia sio tu ya kufunga goli la ushindi lililokuwa linaelekea kugoma kuja lakini ni kusherehekea kwisha kwa balaa lake la kushindwa kufunga. mpaka alianza kupoteza kujiamini kushuti golini akijihisi anapotezea wenzake nafasi za kufunga. lile goli la jana litakuwa limempa bonge ya relaxation ya moyo. sasa itakuwa ni kupunguza mabeki kwa kuchezesha miguu yake na kuwatoka na kuachia madongo yatakayokuwa yanaenda moja moja kwenye nyavu ndogo!!! tutaanza kuyaona hayo J4 ijayo Paris!!!!!
Kupiga mkwala kunasaidia sana!FA wameanza kumgwaya Mourihno and Ivanovic get away with his headbuttHazard amesign mkataba wa miaka mitano na nusu hii leo.
Wameamua kuiweka kwenye mbeleko Chelsea na Mwanamieleka Ivanovic?
Huu utaratibu wa kuruhusu mafias kununua vilabu vya mpira, utaua kabisa soka kwa mtindo wa ugawaji wa bahasha.
Mchezaji mbili za Chelsea zilikuwa tayari offside kabla na baada ya "Lile goli halali". Aliyefunga lile goli alifunga baada ya mshika kibendera kumtanabahisha mwamuzi kuwa kuna waoteaji wawili wa Chelsea wakinyemelea kufanya umafia.
Halikuwa goli halali.
Na Lile bao la Wiliam ni kwa hisani ya mwamuzi kwa kumpa mchezaji wa Timu pinzani kadi nyekundu kutokana na wachezaji wa Chelsea kumzunguka, kumtisha na kumtekenya mwamuzi.
Kwa kifupi inaitwa kubebwa.
Naonaga kama anapanic mno
Chelsea and Everton charged after Stamford Bridge incident
Both Chelsea and Everton have been charged by the Football Association after players from both teams were involved in an on-pitch incident. The clubs are charged with failing to ensure their players conducted themselves properly during the game. Chelsea defender Branislav Ivanovic will not face any further action over an incident involving Everton's James McCarthy in the 86th minute.
hajatuliza akili vizuri, but all that comes with experience, with time anaweza jitahidi kupunguza makosa, but kwa sasa ajifunze kwanza toka kwa cech
Sijaanza shule bado. Nipo darasa minus zero.
Vitu vya kiutuuzima ulivyoandika wewe nitaweza kuvisoma kupitia links zipi?
Naomba hizo links, tafadhali mtu mzima. Mtu mzima wewe, au babu wewe upo darasa la ngapi kwani?
Tumemaliza ngebe za Madrid na PSG.
Wale wataalam wa kusajiri mchezaji yoyote yule wanayemtaka kwa gharama yoyote ile sasa tumewakata ngebe zao. Hazard ni Chelsea mpaka 2020.
![]()
Nimeangalia morinho akihojiwa,kasema atamchezesha cech kwenye mechi zile kibwa mfano kukutana na lina Liverpool na man city halafu na uefa
We pia ni Punguani wa Chelsea?
Maana ya Punguani ni nini mossad Zero 3?
Beki wa Everton alianguka tu na mpira kumgonga mkononi, mpira ulifuata mkono na sio kuwa mkono ulifata mpira. Unataka apate adhabu mbili? Ile kuanguka tu ni adhabu tosha!![/QUOTE
Uyo beki alieanguka mpira ukamfuata ni yupi?
We pia ni Punguani wa Chelsea?
Maana ya Punguani ni nini mossad Zero 3?
Beki wa Everton alianguka tu na mpira kumgonga mkononi, mpira ulifuata mkono na sio kuwa mkono ulifata mpira. Unataka apate adhabu mbili? Ile kuanguka tu ni adhabu tosha!![/QUOTE
Uyo beki alieanguka mpira ukamfuata ni yupi?
cc Nonda
Uyo beki alieanguka mpira ukamfuata ni yupi?
hapo mpira ulifuata mkono au mkono ulifuata mpira? angalia vzr na.kama huoni vzr vaa miwana na utazame tena vzr hiyo picha
We ni punguani,
Ile penalt ya wazi tuliyonyimwa baada ya cuardado kupiga mpira na beki wa everton kuublock kwa mkono na kuupandisha juu(kuupiga juu) kwa mkono hukuona kuwa ni clear penalti...kocha wa everton kakomment kuwa red card kwa barry ilikuwa correct coz alicheza rafu inayostahili njanoa afu we punguani unakuja kubisha na kuona ilitolewa kwa kubebwa hapa..na kuclaim kuwa chelsea imebebwa?