unajua binadamu sisi watu wa ajabu sana. hizi penalties tunazonyimwa sio makusudi. ni ile hali ambayo mtu anayekuona una uwezo anaamini hustahili vi favours vidogo vidogo. kwamba kwa uwezo wako lazima ututafanikiwa tu wala huitaji 'kubebwa' kwa aina yoyote. ndivyo waamuzi waonavyo ndani na nafasi zao. wanaona kwa mpira wenu na assets mlizonazo mtafunga tu goli anytime. so hamna haja ya kupewa pewa penalties as mtaonekana mnabebwa wakati hamsahili kubebwa bali mtashinda kwa merit.
nadhani kama penaties zote tungekuwa tunapewa, gap la points lingekuwa kubwa sana. Kila mechi kuna incidence ya sisi kustahili kupewa penalty lakini marefa wanapeta for reasons not understood. but iwe penalty isiwe, kombe la EPL letu mwaka huu.