Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu jiandaeni kati ya games 3 hadi 9 bila beki wenu hodari Ivanovic

Ile headbutt FA kesho wanatangaza ajitetee!Headbutt ya kijinga kabisa na isiyo takiwa


Tumezoea wamfungie ata game kumi. Bila Costa tumepata draw mchezo mmoja na kushinda miwili...

Focus yetu kwa sasa ni PSG hao FA wafanye wawezavyo.... Tuko na majeruhi wawili mpk sasa Lui na Obi kwa wastani timu iko vzr.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu jiandaeni kati ya games 3 hadi 9 bila beki wenu hodari Ivanovic

Ile headbutt FA kesho wanatangaza ajitetee!Headbutt ya kijinga kabisa na isiyo takiwa

Lets wait ila hiyo back four huwa hainuimizi kichwa sana, Zouma,Cahill,Luiz, Terry na Cezar wako vizuri
 
Last edited by a moderator:
Edson acha unazi usio bebeka!Beki Ivanovic alistahili apewe red card na FA kesho hawamuachi na kwa hili Nonda yupo sahihi

Nako kule Milner kaokoa mpira kwenye mstari kwa mkono dakika ya 6 tu!Milner alistahili red card na penalty kwa Stoke

Sometimes marefa EPL daaah
 
Last edited by a moderator:
Ndoto si kitu kibaya. Endelea na ndoto zako.

Ndoo pekee mtakayopata msimu huu ni ile ya Segerea.!!

Lini Mourinho amekubali kuwa wanamieleka wake wamefanya makosa? Una kumbu kumbu yoyote juu ya hilo?

Wewe mpira huujui kama macho huoni hata picha angalia ,kumbe kwa akili yako ivanovic angetoka chese angefungwa
 
Wewe mpira huujui kama macho huoni hata picha angalia ,kumbe kwa akili yako ivanovic angetoka chese angefungwa

Duu. Wewe chilumendo lini umeanza kuwa mshabiki wa kabumbu?

Kama unajua mpira kweli andika kidogo kuhusu uwezo wako katika kuchambua kandanda. Baada ya hapo tunaweza kuanzisha ligi yetu.
 
Tumezoea wamfungie ata game kumi. Bila Costa tumepata draw mchezo mmoja na kushinda miwili...

Focus yetu kwa sasa ni PSG hao FA wafanye wawezavyo.... Tuko na majeruhi wawili mpk sasa Lui na Obi kwa wastani timu iko vzr.

Mnahitaji majeruhi wengi? Mtapata tu, subirini mkutane na wana-rugby na wanamielka kama ninyi. Utarudi kulalalmika kuwa wanatuumizia "mabondia " wetu. Hizi tactics za kugonga wachezaji wa timu pinzani vichwa na kuwakata mtama ndio utaalamu anaofundisha Mou?

Mwamuzi ametudhalilisha kwa kutukosesha kufanya karamu hapa leo!!! LOL.:heh:

Kalou na Ntunzu mlikuwa mnachungulia hapa kwa mbali , halafu mnaenda kuharisha!!!
 
Edson acha unazi usio bebeka!Beki Ivanovic alistahili apewe red card na FA kesho hawamuachi na kwa hili Nonda yupo sahihi

Nako kule Milner kaokoa mpira kwenye mstari kwa mkono dakika ya 6 tu!Milner alistahili red card na penalty kwa Stoke

Sometimes marefa EPL daaah

unajifanya mtaalam na unajua urefa kuliko refa alichezesha mpira pamoja na wasaidizi wake wote?
 
Last edited by a moderator:
1423691687100.jpg
 
Ha ha ha ha mkuu acha kijana aingie jukwaa la wanaume tumpe za uso

RRONDO ndugu yangu kijana Ings kakusumbua jana sana lkn hongera kwa ushindi!

Huku majirani wetu wa Darajani wamempiga player-less Everton pia!Nao pia naqapa hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom