link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1106.html#post11860515Hiyo U 21 timu gani inaongoza ligi? inaoneka mfatiliaji sana
link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1106.html#post11860515Hiyo U 21 timu gani inaongoza ligi? inaoneka mfatiliaji sana
Terry mwenyewe ni zao la West Ham..ingawa hata kwa rentboys alikaa kwenye youth system..ila alianzia Upton Park.
itaje tu mkuu...Tembelea google arifu...
itaje tu mkuu...
Hali siyo nzuri ndugu zangu!Jitahidini jamani
Dah afadhali yaani walikuwa wanataka droo tu hakuna walichojia darajani!gap limerudi palepaleat last deadlock broken
Umeangalia hii mechi ya leo kweli?anaesema chelsea tunabahatisha na aseme sasa..............
Umeangalia hii mechi ya leo kweli?
Sio kubahatisha tu, lakini na mbeleko juu. Unafikiri kwa nini mwamuzi alitoa kadi nyekundu kwa timu pinzani dakika za mwisho na kumwacha Mcheza mieleka Ivanovic aendelee kuwepo uwanjani? Kweli hukuona uhuni aliofanya Ivanovic ?
Sasa msubiri ndoo ile ya Segerea.
Ndoto si kitu kibaya. Endelea na ndoto zako.ivanovic hakufanya lolote baya lenye kutahili kupewa kadi.....hilo swali morinho kaulizw ana mwandihi baada ya mechi eti umejisikiaje kuona ivanovic anampiga mwenzake.....the spesho one amejibu kwa kifupi tu dont make me lough!
barry amestahili kadi ya pili ya njano kwa rafu mbaya dhidi ya kijana wetu mahili mwenyeheri willian.....ilikuwa rafu mbya kabisa.....sasa wee kama hujui mpira utaema refa kapendelea ...kocha wa evartona ameulizw ahivi punde tu nini maoni yake kuhusiana na kadi nyekundi kwa barry..amejikuwa kuwa kwa kawaida ukipewa kadi ya njano ya kwanza na kisha ukarudaia kosa na kupewa kadi nyingine ya njani basi ni lazima upewe pia kadi nyekundu so kijana amestahili.......
sisi haooooo seven point clear at the top......mtakatifu wa paris ya ujeruman ajiandae next week