Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man City kapata Droo jana tena kachomoa goli dakika mbaya alafu Etihad lkn vyombo vya habari kwao sio HABARI hio viko kimya lkn hapo ingekua ni chelsea tungeona ata hii kurasa yetu inavojaliwa na Mburukenge.


Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.

Kweli sisi ni kiboko yao.
 
Mti wenye matunda ndo upigwao mawe teamna mashabiki hadi vyombo vya habar macho yote yaitazama chelsea ndo team bora na tishio kwa england....na ili uonekane umeongea mbele za watu kimpira lazima uongee kuhus chelsea na hii ndo maanayake
 
Man city deserves point deduction on every match he will face...
 

Attachments

  • 1423378929893.jpg
    1423378929893.jpg
    55.5 KB · Views: 109
Man City kapata Droo jana tena kachomoa goli dakika mbaya alafu Etihad lkn vyombo vya habari kwao sio HABARI hio viko kimya lkn hapo ingekua ni chelsea tungeona ata hii kurasa yetu inavojaliwa na Mburukenge.


Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.

Kweli sisi ni kiboko yao.

sasa usichoelewa nini? man city watu washajua ni wabovu. chelsea is the team to beat now if u know what i mean......chelsea ndio unstoppable kwahio mkifungwa kila mtu anashangaa kama sio kufurahi.

kwa kifupi chelsea sasa hivi ndio mbabe akipigwa wanyonge wote wanachekelea.
 
Ntuzu jana ndio mara ya kwanza Mourinho anashinda Villa Park.
 
Last edited by a moderator:
RRONDO ndugu yangu hawa akina Ntuzu watakuwa mabingwa maana Man City utumbo mtupu

Wa pili tutakuwa sisi majogoo nyie mtashindana wenyewe
 
Last edited by a moderator:
sasa usichoelewa nini? man city watu washajua ni wabovu. chelsea is the team to beat now if u know what i mean......chelsea ndio unstoppable kwahio mkifungwa kila mtu anashangaa kama sio kufurahi.

kwa kifupi chelsea sasa hivi ndio mbabe akipigwa wanyonge wote wanachekelea.


Umeona sielewi kitu hapo au nimesema kutokana na ukweli ulivo? Maana ata nyie na wenzako sioni kujazana huku! Sasa km chelsea ndio mbabe wenu kwanini huwa mnapingana na sisi tukisema kombe tunachukua?
 
RRONDO ndugu yangu hawa akina Ntuzu watakuwa mabingwa maana Man City utumbo mtupu

Wa pili tutakuwa sisi majogoo nyie mtashindana wenyewe


Nasubiri unifanyie kz moja tu tarehe 1 mwezi ujao pale Man City atakapokuja kwenu majogoo. Unipigie Man City ili gape iwe point kumi kutoka kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu jana ndio mara ya kwanza Mourinho anashinda Villa Park.


Ni moja kati ya viwanja vigumu kabisa kwa Mou kushinda. ata jana mpira ulikua sawa kila kitu ni bahati tu tumeshinda.
 
Last edited by a moderator:
Nasubiri unifanyie kz moja tu tarehe 1 mwezi ujao pale Man City atakapokuja kwenu majogoo. Unipigie Man City ili gape iwe point kumi kutoka kwetu.

Huyu Man City kaisha tepeta sana kaka,mabingwa nyie mapema hata hapo namba 2 tunamtoa
 
Kama kawaida, wa mieleka wamebebwa. Mwamuzi alipeta baadhi ya fouls walizofanya Chelsea. Niseme tu sikuangalia mechi yote, lakini ule muda niliangalia na baadae kuangalia highlights nimeona wana-rugby wamebebwa.

Nilikuwa naangalia Atletico Madrid wakiiadhiri Real Madrid. 4-0.

Hata hivyo, hakuna kikombe wala ndoo kwa wanamieleka kwa msimu huu.

Ha ha jamaa amekasirika lkn mind the gap Mkuu
 
Huyu Man City kaisha tepeta sana kaka,mabingwa nyie mapema hata hapo namba 2 tunamtoa


Ligi bado ni ngumu mkuu na sisi bado sio mabingwa mpk mwezi wa tano mkuu.

Ila ninachokiona ni kwamba Man City ktk nafasi ya pili atatoka na kushuka chini huko maana km Man Utd atashinda leo basi atakua na points 46 tofauti ya points 3 na Man City kitu ambacho tarehe 1 mwezi ujao nyie LFC mkimfunga City basi watakua sawa kwa points na Man Utd. Na ukumbuke kua City hajaenda kwao Utd kitu ambacho City akienda lazima apigwe rejea mchezo wa City na Utd pale Etihad km yasingekua makosa ya Chris Smaling basi kufungwa City siku hiyo ilikua lazima.

Kwahiyo mkuu naona kuporomoka kwa city kunakuja.
 
Man City kapata Droo jana tena kachomoa goli dakika mbaya alafu Etihad lkn vyombo vya habari kwao sio HABARI hio viko kimya lkn hapo ingekua ni chelsea tungeona ata hii kurasa yetu inavojaliwa na Mburukenge.


Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.

Kweli sisi ni kiboko yao.

Mwana hii timu we acha tu, Mara oooh wanamieleka, oooh n divers, oooh kocha anaongea sana,oooh wanapaki basi, lkn ukichunguza vzr wanaipenda sema bas tu
 
Ligi bado ni ngumu mkuu na sisi bado sio mabingwa mpk mwezi wa tano mkuu.

Ila ninachokiona ni kwamba Man City ktk nafasi ya pili atatoka na kushuka chini huko maana km Man Utd atashinda leo basi atakua na points 46 tofauti ya points 3 na Man City kitu ambacho tarehe 1 mwezi ujao nyie LFC mkimfunga City basi watakua sawa kwa points na Man Utd. Na ukumbuke kua City hajaenda kwao Utd kitu ambacho City akienda lazima apigwe rejea mchezo wa City na Utd pale Etihad km yasingekua makosa ya Chris Smaling basi kufungwa City siku hiyo ilikua lazima.

Kwahiyo mkuu naona kuporomoka kwa city kunakuja.

Man City hastahili hata acheze CL mwakani maana anatutia aibu tu kila mwaka
 
Man City kapata Droo jana tena kachomoa goli dakika mbaya alafu Etihad lkn vyombo vya habari kwao sio HABARI hio viko kimya lkn hapo ingekua ni chelsea tungeona ata hii kurasa yetu inavojaliwa na Mburukenge.


Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.

Kweli sisi ni kiboko yao.

Mkuu wanakuwa wameibetia Chelsea sasa ikifungwa mkeka unachanika unajua kupitia Chelsea watu wanapiga sana hela?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom