Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Man City kapata Droo jana tena kachomoa goli dakika mbaya alafu Etihad lkn vyombo vya habari kwao sio HABARI hio viko kimya lkn hapo ingekua ni chelsea tungeona ata hii kurasa yetu inavojaliwa na Mburukenge.
Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.
Kweli sisi ni kiboko yao.
Angalia Arsenal pia kapigwa na Spurs lkn imekua sio habari ata mburukenge hawako kule lkn ktk hii kurasa ya chelsea ni shida.
Kweli sisi ni kiboko yao.