Chelsea First team: 1st
Chelsea U21 team: 1st
Chelsea U18 team: 1st
Chelsea Ladies team: 1st
DOMINATION.
Kama kawaida, wa mieleka wamebebwa. Mwamuzi alipeta baadhi ya fouls walizofanya Chelsea. Niseme tu sikuangalia mechi yote, lakini ule muda niliangalia na baadae kuangalia highlights nimeona wana-rugby wamebebwa.they like or not, we are on top, blues for life
Kwa sababu Chelsea inapasha kiti cha watu moto tu kama msimu uliopita.Hiv kwa nini? wasikabidhi kombe kabisa kwa chelsea.
Grand PA
FA wamekua wasikuvu kwa Jose Mou kuhusu kucheza game za EPL katikati ya wiki then unapata nafasi ya kutosha kujiandaa na game za Cahmpions League km ilivo kwa timu za Ujerumani zinazoshiriki UEFA.
Tunacheza tarehe 11 jumatano then weekend hii hatuna game yoyote mpk jumanne wiki ijayo tutakapokua Paris ktk Champions league. Safi sn, siku 6 za maandalizi ya kuivaa PSG.
FA wamekua wasikuvu kwa Jose Mou kuhusu kucheza game za EPL katikati ya wiki then unapata nafasi ya kutosha kujiandaa na game za Cahmpions League km ilivo kwa timu za Ujerumani zinazoshiriki UEFA.
Tunacheza tarehe 11 jumatano then weekend hii hatuna game yoyote mpk jumanne wiki ijayo tutakapokua Paris ktk Champions league. Safi sn, siku 6 za maandalizi ya kuivaa PSG.
Kama kawaida, wa mieleka wamebebwa. Mwamuzi alipeta baadhi ya fouls walizofanya Chelsea. Niseme tu sikuangalia mechi yote, lakini ule muda niliangalia na baadae kuangalia highlights nimeona wana-rugby wamebebwa.
Nilikuwa naangalia Atletico Madrid wakiiadhiri Real Madrid. 4-0.
Hata hivyo, hakuna kikombe wala ndoo kwa wanamieleka kwa msimu huu.