Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,383
- 10,951
Kuna Usemi Unasema:
If You Can't Beat Them Buy Them
#chelseafc With Atletico Madri
And If U Can't Beat Them,join Them.
Welcome Leo Mess #cfc
Madri = Madrid
Mess = Messi
Kuna Usemi Unasema:
If You Can't Beat Them Buy Them
#chelseafc With Atletico Madri
And If U Can't Beat Them,join Them.
Welcome Leo Mess #cfc
wana blues wenzangu hivi dili ya messi ni ya kweli coz kila media issue ni messi
Kalou ndugu yangu kwema hapa?Naona kijiwe kimepoa sana!Chukulieni 5-3 ya Tots kama changamoto tu na si zaidi ya hapo!
Ntuzu haina haja ya kusononeka hadi leo kwa kipigo kile,ndiyo soka kaka
Heri ya mwaka mpya wana Darajani wote
Kalou ndugu yangu kwema hapa?Naona kijiwe kimepoa sana!Chukulieni 5-3 ya Tots kama changamoto tu na si zaidi ya hapo!
Ntuzu haina haja ya kusononeka hadi leo kwa kipigo kile,ndiyo soka kaka
Heri ya mwaka mpya wana Darajani wote
si kweli ni media tu hizo, ila zinaweza kuwa na ushawishi fulani
Milion £ 260 ndiyo bei ya Messi ambayo ni zaidi ya mishahara ya wachezaji wote wa Westham!
Hamna wa kutoa bei hii hapa duniani,tutaishia kwenye milion 100 na kidogo huko
wana blues wenzangu hivi dili ya messi ni ya kweli coz kila media issue ni messi
Nahisi hasira na usongo mkali darajani...na hata humu jukwaani. darajani nahisi kuna hii hali:
1. Hasira za kukisahau kipigo cha Tottenham. hasira hizi zitaisha kama kitatolewa kipigo cha mbwa mwizi.
2. Nahisi kipigo hiki kitatolewa kwa Newcastle wiki endi hii
3. Nahisi pia hasira za kulipiza nuksi waliyotuanzishia hawa Newcastle kwao St. James Park. Na hili ukijumlisha na Namba 1 na namba 2 hapo juu, inahamasisha hasira ya kuwapiga Newcastle zaidi ya hizo bao 5 tulizopigwa sisi tena bila majibu!
4. Nahisi pia kuna presha kwa wachezaji kujituma zaidi ili wasije wakakatwa pindi uvumi wa ujio wa Messi utakapokuwa kweli. sitashangaa kuwaona watu kama Schurrle na Salah wakijituma zaidi na kujikakamua zaidi kulinda namba zao au kutengeneza opportunities za kuchukuliwa na timu kubwa pindi watakapoonekana kutolewa
5. Nahisi pia tutataka kutoa onyo kwa game ijayo na Man City kuwa kudondoka kwetu kwa hvi karibuni kumefikia kikomo na tunataka kufungua tena gap la point lililokuwepo awali, hususan kwa vile mechi na Man City iko tu jirani.
Wadau Ntuzu kalou Viol Mentor na wengineo mnasemaje? Karibuni tuijadili timu yetu na mikakati yetu. tuachane kubishana na wanaotucheka. hao watatucheka tu siku zote tufungwapo. ila hatutawaona tushindapo
Kama abromovich aliweza kutumia million £80 kwa ck akiwa ufukweni na rafiki zaje atashindwaje kumleta messi darajani?
Kwa ck alitumia million £80
Siku hizi kuna Financial Fear Play, lazima club itumie pesa kadri inavyotengeneza