Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kurt Zouma forced off on stretcher after nasty collision during Chelsea's Capital One Cup clash against Derby
 

Attachments

  • 1418799912284.jpg
    1418799912284.jpg
    94.6 KB · Views: 92
  • 1418799934149.jpg
    1418799934149.jpg
    113.5 KB · Views: 93
  • 1418799966823.jpg
    1418799966823.jpg
    114.1 KB · Views: 285
  • 1418799987601.jpg
    1418799987601.jpg
    101.3 KB · Views: 92
Sina shaka na hili hata kidogo agosti 8. nakubaliana na wewe 100%. Sio tu tuko robo fainali tayari, sisi tutakuwepo kwenye fainali yenyewe. na lazima tunalichukua hili kombe mwaka huu!! kumbuka tuna makombe manne msimu huu!!! msimu ujao ukianza tunaanza na Super Cup halafu tunachukua hili la world cup for clubs!! yani come Dec 2015 tuna makombe 6 tayari na tutakuwa tena nusu fainali ya League cup kama tulivyoingia jana!!!!

Mkuu Manumbu; ungeelewa kwanza mwanzo wa mjadala; kabla ya kutoa hukumu tu.

respect!!!

argument ni kwamba PSG wako vizuri kuliko msimu uliopita tulipowatoa kwenye robo ya UCL.
Nimewaambia kwamba..msimu huu tuko vizuri pia kuliko msimu uliopita the Maestro Fabregas, Diego Costa, Filipe Luis etc...

iwe iwavyo tuko robo fainali ya UCL tayari...

CHELSEA FC - FOREVER BLUE
 
Last edited by a moderator:
khe khe khe khe khekhe.....huwezi kulala bila kututaja na bado #TutaheshimianaTuMwakahuu

kaka ukiwa mtu wa mpira unaangalia na mipira ya wenzako. kulileta lile jukwaani hapa sio kwamba tunawa admire au tuna dhamira yoyote ile kwenu. hamna kitu. ni kuangalia tu mpira na kuona kitu kizuri kinachotokea kwa mwenzio. in any case wewe kutukuta mpaka msimu ujao tutakapoanza tena wote tukiwa na points 0. kwa msimu huu sahau kabisa. hata man city humkuti sembuse sisi
 
Aiseee njoo pm nikupe no ya simu kuna mganga mzuri sn huku kwetu gamboshi anajua kutibu haya makitu yanaitwa Nonda!
Uende tu akakutibu huo ugonjwa wa "Domo-Mourinho". Mganga unae, U-Ntunzu unakusumbua kwa nini huendi haraka kwa huyo mganga.

Huenda baada ya matibabu ukarudi na lugha ya ki-sportmanship na sio "Domo-Mourinho"

Haya usijicheleweshe, fanya haraka!

Nikukumbushe tu kuwa Chelsea inabebwa, lakini hakuna kikombe kwa msimu huu.
 
Nonda....! Teh Teh Teh Teh Teh

Unataka tuongee lugha gani ya kisport wakati unapost vitu visivyo na ukweli?


Uende tu akakutibu huo ugonjwa wa "Domo-Mourinho". Mganga unae, U-Ntunzu unakusumbua kwa nini huendi haraka kwa huyo mganga.

Huenda baada ya matibabu ukarudi na lugha ya ki-sportmanship na sio "Domo-Mourinho"

Haya usijicheleweshe, fanya haraka!

Nikukumbushe tu kuwa Chelsea inabebwa, lakini hakuna kikombe kwa msimu huu.
 
Nilipoona Hiyo post ya RRONDO nilibaki nacheka tu! Anyway najua anatutania! Lkn km Alikua amedhamiria Basi atakua na shida! Michezo au mpira hauko hivyo! Lazima uangalie ata nje ya timu yako Na km kuna vitu vzr huko nje lazima useme! Hiyo Ndio Fair!

kaka ukiwa mtu wa mpira unaangalia na mipira ya wenzako. kulileta lile jukwaani hapa sio kwamba tunawa admire au tuna dhamira yoyote ile kwenu. hamna kitu. ni kuangalia tu mpira na kuona kitu kizuri kinachotokea kwa mwenzio. in any case wewe kutukuta mpaka msimu ujao tutakapoanza tena wote tukiwa na points 0. kwa msimu huu sahau kabisa. hata man city humkuti sembuse sisi
 
kaka ukiwa mtu wa mpira unaangalia na mipira ya wenzako. kulileta lile jukwaani hapa sio kwamba tunawa admire au tuna dhamira yoyote ile kwenu. hamna kitu. ni kuangalia tu mpira na kuona kitu kizuri kinachotokea kwa mwenzio. in any case wewe kutukuta mpaka msimu ujao tutakapoanza tena wote tukiwa na points 0. kwa msimu huu sahau kabisa. hata man city humkuti sembuse sisi

tatizo lenu humu hamna 'sense of humor'.....ndio maana wakija watu kama Nonda mnaishia kutoka povu!!! statement yangu imeanza na kicheko....khe khe khe khe khe that says a lot lakini hukuliona hilo ila nishawazoea siku nikitaka kuongea sana thread hii nawasifia tu na hapo nitakaa na nyinyi siku nzima huku mkigonga vi-like tu coz nawaambia mnachopenda kusikia.....Chelsea the best team in the world.....LMFAO!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nilipoona Hiyo post ya RRONDO nilibaki nacheka tu! Anyway najua anatutania! Lkn km Alikua amedhamiria Basi atakua na shida! Michezo au mpira hauko hivyo! Lazima uangalie ata nje ya timu yako Na km kuna vitu vzr huko nje lazima useme! Hiyo Ndio Fair!

shida gani??!! mimi mpira sichukulii serious kihiivyo....nipate stress na kutokwa povu kisa mtu kasema timu yangu mbovu au kocha wangu mbovu,never!! hata awe amesema uongo nitaenda nae hivyo hivyo......hapa naburudika tu ndio maana huwa nasema chochote....mimi sio mtaalam wa soka ni mtazamaji tu sijui chochote,ninachokiona kinaweza kuwa sahihi au potofu kulingana na maono yangu kwahio nikitoa maoni msitokwe povu jifunzeni kuvumilia watu kama sisi tena huyo Nonda anawavuruga na kuwachora tu msifikiri ni mjinga kama mnavyodhani.....nakusubiri kwa hamu kuna post humu nimeisoma kimya kimya umesema hamna point mtakayopoteza hadi jan 5 sijui!!!!
 
Last edited by a moderator:
shida gani??!! mimi mpira sichukulii serious kihiivyo....nipate stress na kutokwa povu kisa mtu kasema timu yangu mbovu au kocha wangu mbovu,never!! hata awe amesema uongo nitaenda nae hivyo hivyo......hapa naburudika tu ndio maana huwa nasema chochote....mimi sio mtaalam wa soka ni mtazamaji tu sijui chochote,ninachokiona kinaweza kuwa sahihi au potofu kulingana na maono yangu kwahio nikitoa maoni msitokwe povu jifunzeni kuvumilia watu kama sisi tena huyo Nonda anawavuruga na kuwachora tu msifikiri ni mjinga kama mnavyodhani.....nakusubiri kwa hamu kuna post humu nimeisoma kimya kimya umesema hamna point mtakayopoteza hadi jan 5 sijui!!!!



Hakuna anaetokwa na povu kwa lipi hasa? Mimi binafsi nilijua unatania tu na nimesema hivyo! Lkn inaonekana kumbe Ulikua hautanii kutokana na post Yako Hii!

Nonda anatuletea changamoto tu na hakuna anaemzuia Lkn haiitaji kutafuta maelezo mengi kumpiga kwasababu vihoja anavyosimamia ni dhaifu sn!

Nimeangalia ratiba mpk Hiyo January hakuna timu tishio mpk tudondoshe point!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna anaetokwa na povu kwa lipi hasa? Mimi binafsi nilijua unatania tu na nimesema hivyo! Lkn inaonekana kumbe Ulikua hautanii kutokana na post Yako Hii!

Nonda anatuletea changamoto tu na hakuna anaemzuia Lkn haiitaji kutafuta maelezo mengi kumpiga kwasababu vihoja anavyosimamia ni dhaifu sn!

Nimeangalia ratiba mpk Hiyo January hakuna timu tishio mpk tudondoshe point!

nitakukumbusha.....
 
Hakuna anaetokwa na povu kwa lipi hasa? Mimi binafsi nilijua unatania tu na nimesema hivyo! Lkn inaonekana kumbe Ulikua hautanii kutokana na post Yako Hii!

Nonda anatuletea changamoto tu na hakuna anaemzuia Lkn haiitaji kutafuta maelezo mengi kumpiga kwasababu vihoja anavyosimamia ni dhaifu sn!

Nimeangalia ratiba mpk Hiyo January hakuna timu tishio mpk tudondoshe point!

Mtu anapoongea suala la "fact" kuhusu timu unayosupport ukaona anapotosha inafaa umjibu kwa fact, tatizo ni kwamba ukimjibu kwa fact anaona kama umechukia na kuanza kujifanya ilikuwa Joke tu..
 
Mtu anapoongea suala la "fact" kuhusu timu unayosupport ukaona anapotosha inafaa umjibu kwa fact, tatizo ni kwamba ukimjibu kwa fact anaona kama umechukia na kuanza kujifanya ilikuwa Joke tu..


Ni kweli mkuu!
 
Hakuna anaetokwa na povu kwa lipi hasa? Mimi binafsi nilijua unatania tu na nimesema hivyo! Lkn inaonekana kumbe Ulikua hautanii kutokana na post Yako Hii!

Nonda anatuletea changamoto tu na hakuna anaemzuia Lkn haiitaji kutafuta maelezo mengi kumpiga kwasababu vihoja anavyosimamia ni dhaifu sn!

Nimeangalia ratiba mpk Hiyo January hakuna timu tishio mpk tudondoshe point!
Mganga wako amekutibu "Domo-Mourinho"? Inaonekana hivyo. Nimefarajika kusikia unapata changamoto.
Point?..sio point, mapointi, points mtadondosha nyingi tu na ubingwa mtausikia tu kupitia BBC tv, redio au Sky sports.
 
Mganga wako amekutibu "Domo-Mourinho"? Inaonekana hivyo. Nimefarajika kusikia unapata changamoto.
Point?..sio point, mapointi, points mtadondosha nyingi tu na ubingwa mtausikia tu kupitia BBC tv, redio au Sky sports.

Hahaaaaa Nonda bhana! Naona umegeuka kua mtabiri? I have marked your words today! I will come to remind you on January!
 
Hahaaaaa Nonda bhana! Naona umegeuka kua mtabiri? I have marked your words today! I will come to remind you on January!
This is the kind of sportmanship language. Ntuzu mganga wako kweli anajua kuziganga Ntuzu zilizozeeka.
Ni mganga huyo huyo aliyekwambia hutadondosha point?
Kwa hilo amekudanganya. Lol. te tehee hehteette tah tu teh haha h aaah.

Naomba unianzishie Jukwa la New Castel, mimi sielewi vipi unafungua jukwaa JF ili tupate jukwaa la kufurahia ushindi kwa kuifunga "Timu bora" duniani.
 
Ni kweli mkuu!

Mtu anapoongea suala la "fact" kuhusu timu unayosupport ukaona anapotosha inafaa umjibu kwa fact, tatizo ni kwamba ukimjibu kwa fact anaona kama umechukia na kuanza kujifanya ilikuwa Joke tu..

Chelsick vishabiki vyake vipotoshaji nambari moja. Hebu viulizeni mwaka huu vinatetea taji gani? Hakuna hata kajasiri kamoja kanakoweza kujibu hili swali halafu vinaganga njaa ati facts! facts my ass! khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na tajiri kaanza kupoteza pesa kule Urusi ... .... ndio wakome ubishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom