Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ashley Williams: Sorry but nobody, including Steven Gerrard, can get on a pitch based on performances in previous seasons. He's not good enough now.

AF Slater: Liverpool fans claiming Brendan Rodgers as their saviour last season, are now calling for him to be sacked? Bonkers.

Thomas Renshaw: The team needs to step up. No one is creating space. Liverpool cannot beat teams that simply sit in front of them. Rethink.
 
Brendan Rodgers ni kocha mzuri ila bado hajafikia kiwango cha kuifundisha timu kubwa kama Liverpool. Sio kocha wa kuchukua ubingwa wowote. ila ni kocha ambaye anaweza kuiweka timu katika best 8 kwenye Premier League. Anafaa sana kuwa kocha kwa timu kama West Ham, Everton, akina Swansea Aston Villa nk. Kwa timu zinazotaka ubingwa, ROdgers bado hajafika huko. The best he can be katika kupata ubingwa ni kuwa kocha msaidizi wa mtu kama say Maurinho (kama alivyokuwa huko nyuma) Wenger, Pellegrini etc.

The 2nd position Liverpool held last year is the best they can achieve chini yake, na pia kwa vile alikuwa na kipaji cha ziada cha Suarez. hata Sturridge akirudi bado hatomsaidia sana maana Sturridge na Suarez ni miles apart kwa uwezo wa kufunga na kutengeneza magoli

Kocha safi sana yule
 
bahati uliyonayo msimu huu ni kwa unaoshindana nao kuwania ubingwa wote wana timu mbovu....otherwise ni kiwango cha kawaida kwa timu ya top four....man utd,arsenal,man city,liverpool wote wameshuka viwango big time!

Kaka RRONDO, acha kuleta Habari za kishabiki bila kuwa na data, Nimeshakuonya mara nyingi humu, unajishushia hadhi yako kaka, Hiyo kauli yako kusema Timu zote ni mbovu ni Uongo Mkubwa, usiniaminishe kuwa MAN U wote ndio Mlivyo

Kinachotokea sasa ni mabadiriko makubwa ndani ya CHELSEA, Wakati nyie (MAn U, Man City, Arsenal na Liver) bado mko kwenye dunia ileile ya Kawaida CHELSEA YUpo kwenye Sayari Nyingine Kabisa. Hivyo Viwango vyenu bado viko palepale kwa kawaida, ila Chelsea ndio wamebadirika Sana sana sana,

sasa Mnapojaribu kujiringanisha na CHELSEA mnajiona kuwa mmeshuka kiwango BIG NO, Kiwango chenu kipo vilevile ila BLUES ndio wamepanda Sabini mara Saba

Hebu angalia table ya msimu wa mwaka jana 2013-2014 kwenye mwezi wa November kama huu

1. Arsenal P13 Pts 31
2. Liverpool P12 Pts 24
3. Chelsea P12 Pts 24
4. Everton P13 Pts 24
5.New Castle P13 Pts 23
6. Man City P12 Pts 22
7. Soton P12 Pts 22
8. Man U P12 Pts 21

Kwa Msimu huu mpaka sasa msimamo huko hivi
1.Chelsea P12 Pts 322. Soton P11 Pts 25
3. Man City P12 Pts 24
4. Man U P12 Pts 19
5. New Castle P12 Pts 19
6. Westham P12 Pts 18
7. Swansea P12 Pts 18
8. Arsenal P12 Pts 17

Ukiangalia Vizuri Points za Man City na Man U kwa mwezi wa November Msimu uliopita (2013-2014) ni sawa kabisa na Point za msimu huu (2014-2015) za mwezi ule ule wa November, sasa sijuhi kwa nini unasema kiwango cha mwaka huu cha NYIE wapinzani ni kibovu? UKWELI NI KWAMBA WAKATI BADO MPO LEVEL ILEILE YA MSIMU ULIOPITA,
maana msimu ulipita wakati kama huu CHELSEA alikuwa na points 24 tu sawa na NYIE, Leo ChELSEA kawaacha hapo hapo

Ndio hali halisi bwana RRONDO, tulia dawa inaingia polepole, Japo inauma lakini ndio Dawa

CC: Mentor, agosti 8, Tony Gwanco, Ntuzu, Manumbu
 
Last edited by a moderator:
Kituko safi sn Mkuu..! Huyu jamaa anatupigia kelele tu!
 
Last edited by a moderator:
Kaka RRONDO, acha kuleta Habari za kishabiki bila kuwa na data, Nimeshakuonya mara nyingi humu, unajishushia hadhi yako kaka, Hiyo kauli yako kusema Timu zote ni mbovu ni Uongo Mkubwa, usiniaminishe kuwa MAN U wote ndio Mlivyo

Kinachotokea sasa ni mabadiriko makubwa ndani ya CHELSEA, Wakati nyie (MAn U, Man City, Arsenal na Liver) bado mko kwenye dunia ileile ya Kawaida CHELSEA YUpo kwenye Sayari Nyingine Kabisa. Hivyo Viwango vyenu bado viko palepale kwa kawaida, ila Chelsea ndio wamebadirika Sana sana sana,

sasa Mnapojaribu kujiringanisha na CHELSEA mnajiona kuwa mmeshuka kiwango BIG NO, Kiwango chenu kipo vilevile ila BLUES ndio wamepanda Sabini mara Saba

Hebu angalia table ya msimu wa mwaka jana 2013-2014 kwenye mwezi wa November kama huu

1. Arsenal P13 Pts 31
2. Liverpool P12 Pts 24
3. Chelsea P12 Pts 24
4. Everton P13 Pts 24
5.New Castle P13 Pts 23
6. Man City P12 Pts 22
7. Soton P12 Pts 22
8. Man U P12 Pts 21

Kwa Msimu huu mpaka sasa msimamo huko hivi
1.Chelsea P12 Pts 322. Soton P11 Pts 25
3. Man City P12 Pts 24
4. Man U P12 Pts 19
5. New Castle P12 Pts 19
6. Westham P12 Pts 18
7. Swansea P12 Pts 18
8. Arsenal P12 Pts 17

Ukiangalia Vizuri Points za Man City na Man U kwa mwezi wa November Msimu uliopita (2013-2014) ni sawa kabisa na Point za msimu huu (2014-2015) za mwezi ule ule wa November, sasa sijuhi kwa nini unasema kiwango cha mwaka huu cha NYIE wapinzani ni kibovu? UKWELI NI KWAMBA WAKATI BADO MPO LEVEL ILEILE YA MSIMU ULIOPITA,
maana msimu ulipita wakati kama huu CHELSEA alikuwa na points 24 tu sawa na NYIE, Leo ChELSEA kawaacha hapo hapo

Ndio hali halisi bwana RRONDO, tulia dawa inaingia polepole, Japo inauma lakini ndio Dawa

CC: Mentor, agosti 8, Tony Gwanco, Ntuzu, Manumbu

siwezi kukulazimisha ukubali ninachosema....man utd ni wabovu tangu misimu miwili iliopita,hata walipochukua ubingwa ni uzoefu tu wa ferguson ila timu haikuwa nzuri, liverpool ya mwaka jana na ya mwaka huu ni dunia na mbingu....same man city....naweza kukubali kutokubaliana.

one horse race hio kombe lenu LABDA....LABDA kutokee serious collapse kwa chelsea ambayo chini ya mourinho hilo silioni likitokea.
 
we huna mpya...



Unatupigia kelele tu ndio Maana hua siumizi kichwa changu kutafuta data ili nikujibu. Acha timu yetu ifanye Vzr na nyie mgombanie nafasi ya Tatu Au ya nne.
 
Unatupigia kelele tu ndio Maana hua siumizi kichwa changu kutafuta data ili nikujibu. Acha timu yetu ifanye Vzr na nyie mgombanie nafasi ya Tatu Au ya nne.

sawa...im out, mkae na amani.
 
Kaka, mbona Hasira Tena? Mambo ya mpira hayana hasira Bwana vumilia tu, ila uwe unasimamia ukweli

mkuu usihofu mimi na Ntuzu tunaelewana najua nitamkamata wapi....mimi hili jukwaa ni my home from home wala siwezi kukasirika nawaelewa vizuri wana chelsea
 
Last edited by a moderator:
World class.



kaka rrondo, acha kuleta habari za kishabiki bila kuwa na data, nimeshakuonya mara nyingi humu, unajishushia hadhi yako kaka, hiyo kauli yako kusema timu zote ni mbovu ni uongo mkubwa, usiniaminishe kuwa man u wote ndio mlivyo

kinachotokea sasa ni mabadiriko makubwa ndani ya chelsea, wakati nyie (man u, man city, arsenal na liver) bado mko kwenye dunia ileile ya kawaida chelsea yupo kwenye sayari nyingine kabisa. Hivyo viwango vyenu bado viko palepale kwa kawaida, ila chelsea ndio wamebadirika sana sana sana,

sasa mnapojaribu kujiringanisha na chelsea mnajiona kuwa mmeshuka kiwango big no, kiwango chenu kipo vilevile ila blues ndio wamepanda sabini mara saba

hebu angalia table ya msimu wa mwaka jana 2013-2014 kwenye mwezi wa november kama huu

1. Arsenal p13 pts 31
2. liverpool p12 pts 24
3. Chelsea p12 pts 24
4. Everton p13 pts 24
5.new castle p13 pts 23
6. Man city p12 pts 22
7. Soton p12 pts 22
8. Man u p12 pts 21

kwa msimu huu mpaka sasa msimamo huko hivi
1.chelsea p12 pts 322. Soton p11 pts 25
3. man city p12 pts 24
4. man u p12 pts 19
5. New castle p12 pts 19
6. Westham p12 pts 18
7. Swansea p12 pts 18
8. Arsenal p12 pts 17

ukiangalia vizuri points za man city na man u kwa mwezi wa november msimu uliopita (2013-2014) ni sawa kabisa na point za msimu huu (2014-2015) za mwezi ule ule wa november, sasa sijuhi kwa nini unasema kiwango cha mwaka huu cha nyie wapinzani ni kibovu? Ukweli ni kwamba wakati bado mpo level ileile ya msimu uliopita,
maana msimu ulipita wakati kama huu chelsea alikuwa na points 24 tu sawa na nyie, leo chelsea kawaacha hapo hapo

ndio hali halisi bwana rrondo, tulia dawa inaingia polepole, japo inauma lakini ndio dawa

cc: mentor, agosti 8, tony gwanco, ntuzu, manumbu
 
Kituko asante kwa data kumnyamazisha kabisa RRONDO mpaka kakiri na kukimbia. Ntakulike badae nikifungua laptop ka mchina langu nadhani hakana hiyo option.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom