Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

leo tunachinja mtu kwao,hizi mechi wangefanya saa mbili hivi,dah siyo kabisa unaangalia mechi ukisinzia

Mkuu mechi inachezwa Ujerumani na itaanza 20:45H (saa 3 kasorobo) kwa saa za Ulaya ya magharibi, sasa kuna tofauti ya masaa mawili au matatu (sina hakika) na Afrika mashariki ndio maana inakuwa usiku sana.
 
Mkuu mechi inachezwa Ujerumani na itaanza 20:45H (saa 3 kasorobo) kwa saa za Ulaya ya magharibi, sasa kuna tofauti ya masaa mawili au matatu (sina hakika) na Afrika mashariki ndio maana inakuwa usiku sana.
mkuu africa mashariki ni 10:45,saa tano kasoro
 
angalia raha ndani ya chelsea


 
Last edited by a moderator:
Mkuu mechi inachezwa Ujerumani na itaanza 20:45H (saa 3 kasorobo) kwa saa za Ulaya ya magharibi, sasa kuna tofauti ya masaa mawili au matatu (sina hakika) na Afrika mashariki ndio maana inakuwa usiku sana.

KICK OFF UK 1945.....tofauti ya UK na EA ni 3HRS WINTER TIME HENCE 2245 EAT KICK OFF....saa za UK zikibadilika kwenda 2hrs difference na EA kick off EAT ni 2145 kama ilivyokuwa mwezi uliopita
 
Terry anaipatia Chelsea goli la kuongoza baada ya Costa kukosa goli na mpira kuwa kona ikapelekea goli la Terry.
 
KICK OFF UK 1945.....tofauti ya UK na EA ni 3HRS WINTER TIME HENCE 2245 EAT KICK OFF....saa za UK zikibadilika kwenda 2hrs difference na EA kick off EAT ni 2145 kama ilivyokuwa mwezi uliopita

Mechi inachezwa Ujerumani mkuu, wala sio UK.
 
Mechi inachezwa Ujerumani mkuu, wala sio UK.

i know...mshika dau ni SKYSPORTS UK na ndio anaowapa SUPER SPORTS LIVE GAMES,kwahio wanafuata time za UK ndio maana game hizi ni 1945 UK whether saa wakirudisha nyuma au wakisogeza mbele wanafuata UK time 1945 ndio maana huku tz mara inakuwa 2245 au 2145 lakini UK ni 1945.
 
i know...mshika dau ni SKYSPORTS UK na ndio anaowapa SUPER SPORTS LIVE GAMES,kwahio wanafuata time za UK ndio maana game hizi ni 1945 UK whether saa wakirudisha nyuma au wakisogeza mbele wanafuata UK time 1945 ndio maana huku tz mara inakuwa 2245 au 2145 lakini UK ni 1945.
do you feel the heat?
 
A couple of stats for you from the Sky Sports team. John Terry's opener for Chelsea is the fastest they have scored in their Champions League history. It's also his 10th Champions League goal, making him only the fourth defender to reach that tally.
 
44′ - Own Goal - Jan Kirchhoff
(Schalke 04) GOOOOOOAAAL!! IT IS
A THIRD! The resultant corner is
whipped in by Fabregas and three
Schalke players get up to try and
win it. There is no communication
and Kirchhoff contrives to head
the ball into the back of his own
net!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom