Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,283
Nilishamwambia RRONDO wao wabovu kwa Sbb sisi Kiwango kimepanda sana. Na kwa wao kuja kutufikia lazima wa invest kwa kocha kama Guadiorla ambao sio wengi. No wonder tutaendelea kutamba sana England. Tutakuwa tunashindana zaidi na continental Europe than other English teams. Uzuri maurinho keshakubali kutulia chamani, hela ipo na kila mchezaji mzuri atataka kuchezea Chelsea. Zile zama za kuchukua makombe 20 zimegeukia Chelsea sasa. Hao wengine watabaki kuwa na historia ya kunyakua makombe in the past wakati sisi tunayanyakua in the present n future! Blues Forever