Mwana kondoo 2025
JF-Expert Member
- Apr 6, 2025
- 495
- 580
CHADEMA NI CHUO CHA KUZALISHA WANASIASA MAHIRI CCM, ACT NCCR NA SASA CHAUMMA. CHADEMA ISHUKURIWE MNO. INA INAVIPA PROMOTION VYAMA
Hata covid19 na g55 ni mazao ya chadema!CHADEMA NI CHUO CHA KUZALISHA WANASIASA MAHIRI CCM, ACT NCCR NA SASA CHAUMMA. CHADEMA ISHUKURIWE MNO. INA INAVIPA PROMOTION VYAMA
Wanasubiri mgombea urais toka CCM wakamilishe kikosi cha kupata 7% ya kura ili wapate ruzuku.Kinaenda kupata ruzuku
Huo ndo ukweli.Hata covid19 na g55 ni mazao ya chadema!
watapata...hiyo ni political strategyWanasubiri mgombea urais toka CCM wakamilishe kikosi cha kupata 7% ya kura ili wapate ruzuku.
Umaarufu wa nyoko?Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
mara pap wanaanza kupata madiwan na wabungeNi chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Hata chadomo kilipewa muda sasa mshumaaaWape muda
Hata Amber rutty ni maarufu vipi ana manufaa yeyote kwako?Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Mbowe ni mjumbe wa kudumu wa Kamati Kuu ya Chadema huku wanamuita puppet. Unakuaje na puppet halafu ni mjumbe?Manyumbu tayari yameanza kuwaonea chaumma wivu😁
Ni balozi, atarudi soon kujiunga chaumma. Atafutiwa hadhi ya ubalozi.watapata...hiyo ni political strategy
Utakufa nacho kijiba cha rohoKama hapa nilipo hawamjui hata John mrema huo umaarufu utakuwa upande wako na bwana ako!