Mchelea mwana kulia...umaarufu wa dhihaka, ....
Mchelea mwana kulia...umaarufu wa dhihaka, ....
Maisha ni principles na siyo fedha! Fedha fedheha!Kinaenda kupata ruzuku
Umaarufu upi?Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA. Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA. Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA. Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Kama ni ruzuku sawa lakini watz kukiamini hilo sahau.Kinaenda kupata ruzuku
chadema wanapambana na ccm pamoja na washirika wake akina chauma na wengine ila chadema watashinda mwisho wa siku,hivi vyama akina chauma ni kwaajilia ya uchaguzi na kuiua chadema hilo kila mwananchi analifahamuNi chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA. Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA. Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA. Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Hawakuona kwa sababu walijitia upofu na ujinga. Wanadhani CHADEMA ilizuka tu! Kwa taarifa yao CHADEMA iliundwa na kulelewa na viongozi na wanachama amboa wao ndiyo wanawadharau kwa sasa. CHAUMMA pia. Siasa ya vyama vingi iko hivyo.Hii post ilianzishwa Mei 20. Mtu huyu alikuwa anazungumza jambo kwa muono wa mbali, maana hata Chaumma ilikuwa haijaanza kazi.
Sasa baada ya miezi miwili tu ya Operesheni chaumma4change unaweza kufanya tathmini ya hoja yake.
Aliona kile ambacho wenzake hawakuona. Baada ya uchaguzi, CHAUMMA itakuwa habari nyingine.