CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Na tunda pia! 😆😆
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Watakuja kupigwa chenga ya uhakika. Labda hawawajui vizuri kijani. Kwasasa watawatumia Kisha watawatupa kama toilet paper
 
Neither cdm nor chaumma all are there to fulfill politician desire.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kama hapa nilipo hawamjui hata John mrema huo umaarufu utakuwa upande wako na bwana ako!
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Wanaubwabwa wanao umaaarufu siku zote kwani walikuwa hawajui?sherehe ubwabwa,besidei ubwabwa,harusi ubwabwa,kicheni patii ubwabwa,arobaini ubwabwa,Idd ubwawa,pasaka ubwabwa,mwaka mpyaa ubwabwa!Hiiiiiii?sasa mnachemaje chauma sii maaaarufu?
 
Nitatoa tathmini yangu baada ya kuru kutumbikizwa kwenye secret ballot
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Umaarufu una pande mbili mtu akizaliwa anapata umaarufu, hongera nyingi na majina mapya,akifa umaarufu unaongezeka pole ni nyingi na rambirambi za kutosha,mzoga ukianza kuonza umaarufu unaongezeka,inzi,funza,fisi wote wanaupa umaarufu mzoga,itazame CHAUMMA na umaarufu wake utaelewa ninachomaanisha.
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Eti nyie ndo ccm inawategemea kuitetea mitandaoni aaaahahahaaaaaa
 
Mtu mwenye akili timamu unawezaje kuishangilia CHAUMMA
Haieleweki sera na mikakati yake kwa taifa zaidi ya mambo ya kitoto tu
chama cha ubwabwa are you serious. Can you derive policy indicators for ubwabwa.
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Hakuna kitu ni sawa na marehemu aliye pata umaharufu kwa kunywa sumu kali na kufa .
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Yah! Lakini kinaonekana kama chama cha comedians. Tena na zile story za ubwabwa ndo kabisaa
 
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA.Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA.Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA.Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
Chaumwa kipo aisiiiyu au kipo mapunziko kwa sasa?
 
Back
Top Bottom