Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,643
- 164,790
UUbinafsi tu huu!!!
Anamaanisha zamani kama alivyoandika...ndio maana amesema mbungeSasa ulitaka aweke taa za kuongozea miti barabarani !?
Hata kuandika hujui, utaandikaje "zamani" badala ya "jamani"!?
Pumba.fusana weye.
Majibu yetu ni mubashara kabisa, ukilinganisha na mada yenyewe.
Kawaida, taa za kuongozea Magari huwekwa barabarani, sasa iweje huyu alete thread Kama hiyo kwa kulalamika na Kama una akili uone kuwa kaleta jambo la msingi!?
Ni hali labda ya uchumi au wakandarasi ndiyo tatizo Ila barabara zinatakiwa kuwa na traffic light kila barabara inapokuwa constructed.
Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua hilo kuwa taa zinawekwa barabarani.
Any way, binafsi siyo sisiemu wala ukawa, I don't want to be a slave.
Haya ni mawazo ya kimasikini sana, au labda tatizo umri unaweza kuwa bado ni mdogo.View attachment 274615![]()
Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?
Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.
Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi
Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.
Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.
Umevaa miwani ya mbao,huwezi ona!Juhudi za mbunge ndo zilileta taa kwa nn mbunge wa eneo lako asifanye juu chin aweke traffic lights..? Mbunge wa chato unataka akuwekee jimbon kwako kishimundu wakati una mbunge wako.. Nonsense!
Umekunywa maji ya kijani,huwezi ona uhalisia!Endelea tu kuwa msukule wa ccmHaya ni mawazo ya kimasikini sana, au labda tatizo umri unaweza kuwa bado ni mdogo.
Cleopa Msuya aliweka umeme na lami kwao upareni watu wakakaa kimya.
Huyo JPM kupeleka maendeleo kwao imeshakuwa nongwa!!. Acheni siasa nyepesi za chuki. Yatazameni maendeleo katika upana wake.
Kuna mtu kakatazwa kutafuta maendeleo kwa ajili ya sehemu alipozaliwa?.
Kwa akili zao finyu, sehemu zingine zote za nchi hii hazipaswi kuwa na maendeleo. Kuna ukabila wa kijinga sana kwenye baadhi ya vichwa vya Watanzania.Sumaye na Lowasa walikuwa wanafanya mchongo kiwanja cha Songwe kijengwe Arusha licha ya uwepo wa KIA pale jirani.Kulikuwa na uvutano mkubwa na Mwandosya.Huo ndo upendeleo wa kijenga.Mnapga kelele kwenye miradi ya halmashauri??Alafu watu wengne hapa wanachanga taa za kuongezea magari na zile kuangaza barabara na mitaa!Kila jambo mnataka lipelekwe Moshi na Arusha?
Wewe ndio usioweza kuona uhalisia. Mnabaki kuishi kwa kukariri maisha. Badilikeni, ndio maana nimekupa mfano wa Mzee Msuya kuweka lami na umeme kule upareni, tena miaka ile ya 80.Umekunywa maji ya kijani,huwezi ona uhalisia!Endelea tu kuwa msukule wa ccm
Mleta mada aliona mbali,kama alikuwa waziri kapeleka traffic light kijijini,akiwa Rais itakuwaje???Wewe ndio usioweza kuona uhalisia. Mnabaki kuishi kwa kukariri maisha. Badilikeni, ndio maana nimekupa mfano wa Mzee Msuya kuweka lami na umeme kule upareni, tena miaka ile ya 80.
Misukule ni nyinyi mnaotafuta sababu za kipuuzi kuanzisha thread zisizo na kichwa wala miguu.
Kuna dhambi gani kupeleka vitu vya maendeleo kule kwao?. Kuna dhambi katika kuifungua kiuchumi kanda aliyozaliwa?. Mlikuwa mnataka kanda fulani fulani zibakie na maendeleo na nyingine ziwe wasindikizaji milele?.Mleta mada aliona mbali,kama alikuwa waziri kapeleka traffic light kijijini,akiwa Rais itakuwaje???
Kweli amekuwa Rais na ndani ya muda mfupi:
-uwanja wa ndege wa kimataifa
-Mjengo wa haja wa TRA
Na hii ni bajeti ya pili tu,akifika bajeti ya nne tutaona mengi!
Kaka Eddy hawa wamefura kwa sababu wanaona awamu ya tano inajikita katika kuyasambaza maendeleo nchi nzima. Viwanda vinajengwa Tanzania yote, wao walitaka tuendelee na ile ile status quo ya miaka yote.Hapo ni njia panda ya kwenda bukoba kyaka hadi Uganda, magari hayakai yanafika yanashusha na kupanda yanaondoka, lakini ushuru unaingia,sasa mnyika na misongamano yote hiyo kashindwa kutumia mapato ya ndani kuwaletea wanaubungo maendeleo. kabla ya magufuli kama unataka kwenda bukoba ilibidi kuzungukia biharamulo akatengeneza shot cut ya kupitia chato hadi muleba sasa hivi ni safari ya masa saba mwanza bukoba. mbona mbowe kajengewa barabara ya lami wakati hamna hata basi moja linalokwenda hai zaidi ya noah (viford) na bodaboda.
Hahahaaaa,endeleeni kutetea huu ujinga!Mwisho wa siku tutakuwa tumepoteza fedha kwa jambo lisilo na faida kiuchumi kwa miaka mingi!Kuna dhambi gani kupeleka vitu vya maendeleo kule kwao?. Kuna dhambi katika kuifungua kiuchumi kanda aliyozaliwa?. Mlikuwa mnataka kanda fulani fulani zibakie na maendeleo na nyingine ziwe wasindikizaji milele?.
Kuna ubaya gani Chato ikawa ndio kichocheo cha kanda yote ya ziwa kuinuka na kupaa kiuchumi?. Tanzania si yetu sote?, kwanini maendeleo yaegemee kwenye baadhi tu ya maeneo. Badilikeni kifikra.
Ujinga umeandikwa na wewe, unaongelea taa za barabarani kwa sababu zipo Chato!!Hahahaaaa,endeleeni kutetea huu ujinga!Mwisho wa siku tutakuwa tumepoteza fedha kwa jambo lisilo na faida kiuchumi kwa miaka mingi!
naona tunachaguliana jinsi ya kuona mambo.Endelea kutumia akili za kushikiwa,kwa hilo sina shaka nalo na nimewafahamisha na wengine wanaokushangaa!