Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

KAKA YAKO NAPITA

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2014
Posts
1,322
Reaction score
233
Pamoja na uchache wa magari barabarani nimeshangaa kukuta trafic light Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Mji mdogo wa Chato una traffic lights kuliko miji manispaa na baadhi ya majiji yenye magari na watu wengi hivi pale Chato kuna nini? Kwanini mataa hayo wasiyapeleke kwenye miji mikubwa kama Morogoro Moshi Bukoba Iringa na Dodoma? Sijui kama yana msaada mkubwa kwa watu kama miji hiyo hapo juu?
 
Pamoja na uchache wa magari barabarani nimeshangaa kukuta trafic light Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.
 


Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.

Duuu umeua
 
Hata mi nimeziona mafundi wanamalizia kuziweka sawa
Nikadhani zitakuwa za kuongoza watu maana chato hamna hayo magari ya kuwekewa hizo taa
 


Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.

Ni mtazamo tu. . . . .ila kama kuna "hierarchy of needs" basi kawaida yako sio kawaida. . . .
 
Ni mtazamo tu. . . . .ila kama kuna "hierarchy of needs" basi kawaida yako sio kawaida. . . .
Mtazamo wa nani? Kwa hiyo na wewe hapo unaona sio Jambo la kawaida kwa traffic lights kuwa barabarani kuongoza magari na waenda kwa miguu kwa usalama!? Watanzania tuna safari Ndefu Sanaa.
 


Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.

kila siku najifunza kitu kipya JF.
 


Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.
Kaka hapo kwenye gari moja inaonyesha jinsi tusiweza kupanga priority...
 

Mtazamo wa nani? Kwa hiyo na wewe hapo unaona sio Jambo la kawaida kwa traffic lights kuwa barabarani kuongoza magari na waenda kwa miguu kwa usalama!? Watanzania tuna safari Ndefu Sanaa.

kweli tuna safari ndefu.....kama hata gari mbili tunahitaji traffic lights!
 
sio kwa ajili ya kuongoza magari ya kwenda pale weigh bridge
 
Kaka hapo kwenye gari moja inaonyesha jinsi tusiweza kupanga priority...
Kaka,
Tatizo linakuja katika kupokea msaada kutoka kwa wahisani. Kuna baadhi ya projects zinakuwa na vitu Kama hivyo ndani yake...inapokuja kwenye ukaguzi wa Miradi husika wahisani wasipokuta Yale yaliyokuwa kwenye makubaliano yametekelezwa kwa ufasaha ndio tarumbeta za UFISADI zinapoanza kusikika.

Kwa hiyo inawezekana kabisa katika Plan ya huko Chato Traffic lights zilikuwa inclusive. Ni Kama unavyokuta Outdoors Lights kwenye mbuga za Wanyama na wakati kuna sehemu za MAKAZI ya binadamu hamna hata umeme.
Natumaini umenielewa.....
 


Mbona unashangaa Jambo la kawaida kaka? Nilifikiria umekutana na "Fly Over" Chato. Traffic lights ni suala la msingi na kiusalama barabarani,hata Kama wilaya nzima Ina gari mbili tu.
In tz realitysituation is a big joke
 
kweli tuna safari ndefu.....kama hata gari mbili tunahitaji traffic lights!
Tatizo letu Watanzania ni walalamishi sana na huwa tunapenda kukurupuka bila kufanya utafiti binafsi. Ndio maana tumefika hapa tulipo. Wewe binafsi umeshafika hiyo sehemu husika na kuziona hizo Traffic Lights!?

Umesema thread umeshapata Mhemko na kuona kwamba umeonewa. Ie: Kuna thread imo humu inazungumzia Serikali kuipa Voda ruzuku. Figure halisi ilikuwa ni $ 3.4 mil ...mleta mada akaandika $ 34 mil. Halafu hiyo hela imetokea kwa wahisani kusaidia sekta ya mawasiliano vijijini.

Lakini Watanzania wenzangu tunapata jazba bila kufanya utafiti. Ndio maana siku hizi magonjwa Kama Presha na sukari yanatuangamiza sana.
 
Back
Top Bottom