Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Dawa yake ipo jikoni inachemka
 
Unaijua stendi ya Chato na idadi ya magari yanayopaki kwa siku? Kwa wasiofahamu Chato ni kijiji kilichopewa hadhi ya makao makuu ya wilaya kwa mabavu (hakikuwa na sifa hiyo) kwa ajili ya uswahiba wa magufuli na Mkapa nukta. Wakti mwingne unafika stendi hakuna gari hata moja unasubiri. Leta uwongo mwingne.

Hapo ni njia panda ya kwenda bukoba kyaka hadi Uganda, magari hayakai yanafika yanashusha na kupanda yanaondoka, lakini ushuru unaingia,sasa mnyika na misongamano yote hiyo kashindwa kutumia mapato ya ndani kuwaletea wanaubungo maendeleo. kabla ya magufuli kama unataka kwenda bukoba ilibidi kuzungukia biharamulo akatengeneza shot cut ya kupitia chato hadi muleba sasa hivi ni safari ya masa saba mwanza bukoba. mbona mbowe kajengewa barabara ya lami wakati hamna hata basi moja linalokwenda hai zaidi ya noah (viford) na bodaboda.
 
Hii ni kazi ya halmashauri kwa kutumia ushuru wanaokusanya kutoka maegesho ya magari katika stendi ya chato, muulizeni mnyika mapato ya stand ya ubungo kafanyia nini kwa wana ubungo?
Mapato ya stand yaliliwa na kile kibabu
 
Unaijua stendi ya Chato na idadi ya magari yanayopaki kwa siku? Kwa wasiofahamu Chato ni kijiji kilichopewa hadhi ya makao makuu ya wilaya kwa mabavu (hakikuwa na sifa hiyo) kwa ajili ya uswahiba wa magufuli na Mkapa nukta. Wakti mwingne unafika stendi hakuna gari hata moja unasubiri. Leta uwongo mwingne.

Niambie magari yako Mangapi Chato niambie na sheria zinasemaje? Naijua Chato toka 2004 mpaka leo, naijua chato ni njia pekee ya kuelekea Bukoba kupitia Biharamulo
 
Hata mimi ningefanya hivyo hivyo, kijiji changu chote ningeweka mataa na umeme kijiji kizima!
 
Unaijua stendi ya Chato na idadi ya magari yanayopaki kwa siku? Kwa wasiofahamu Chato ni kijiji kilichopewa hadhi ya makao makuu ya wilaya kwa mabavu (hakikuwa na sifa hiyo) kwa ajili ya uswahiba wa magufuli na Mkapa nukta. Wakti mwingne unafika stendi hakuna gari hata moja unasubiri. Leta uwongo mwingne.[/QUOTE Alafu kuna watu ni wapumbavu kupitiliza.Hv Chato ndo hawastahili taa?Sio Watanzania wale??Hamjui kuwa Chato ni njia kuu kuelekea nchi jirani?Ndo hayo havo kwa vile Rais wa TFF ni Muhaya basi wasiajiliwe Wahaya pale.Ni ujinga.
 
Sumaye na Lowasa walikuwa wanafanya mchongo kiwanja cha Songwe kijengwe Arusha licha ya uwepo wa KIA pale jirani.Kulikuwa na uvutano mkubwa na Mwandosya.Huo ndo upendeleo wa kijenga.Mnapga kelele kwenye miradi ya halmashauri??Alafu watu wengne hapa wanachanga taa za kuongezea magari na zile kuangaza barabara na mitaa!Kila jambo mnataka lipelekwe Moshi na Arusha?
 
Sioni tatizo. Ni vizuri kama aliwakumbuka wapiga kura wake kama sio kuihimiza halmashauri iziweke
 
Aisee kweli kipimo cha kufanya kazi kipo chini sana. Kama barabara ilikuwa inaitaji taa za barabarani na haziluwekwa wakati ilipojengwa. Kuiweka baadae ni kuikamilisha barabara tu nakuitaji kumsifia.
 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

Acha wivu wewe na tunaokaa Chato ni watanzania ... Kama halmashauri yenu wanakula pesa za mapato poleee
 
Hii ni kazi ya halmashauri kwa kutumia ushuru wanaokusanya kutoka maegesho ya magari katika stendi ya chato, muulizeni mnyika mapato ya stand ya ubungo kafanyia nini kwa wana ubungo?

mnyika. pesa ananywea viroba tu ,ndo maana kakimbia ubungo,hawangemchagua
 
Katika mjadala wa aina hii, unatakiwa uthibitisho kama idadi ya magari katika makutano ya hizo/hiyo barabara huko Chato inahitaji kuwepo kwa taa za barabarani. Hicho ndicho kigezo pekee cha kuwekwa kwa taa hizo. Ndio maana hata jijini DSM na katika miji mingine si makutano yote ya barabara yenye hizo taa. Pia ni vyema kufahamu mwenye jukumu la kazi hiyo kati ya serikali kuu na za mitaa kabla ya kumhukumu mtu. Serikali kuu inawajibika kwa barabara kuu tu.
 
Kuweka mataa chato ni matmizi mabaya ya fedha za umma, hata ukihamua kupita pale ukiwa umefumba macho sidhan kama kuna GARI utagongana nalo. Kwa takwimu za haraka GARI upita pale kila baada ya dakika 40, sasa hiyo ndo sehemu ya kuweka taa nawakt kuna miji haina hizo taa badala yake wanatumia roundabout
 
Utakuwa wehu huo wewe waziriwa ujenzi kwenu usiweke Rami na pia taa.
Ivi ungekuwa wewe mtoa mada ungefanyeje?
Tuache usabiki iyo rami na Taa ni tshs ngapi?Ili hali wizara yake hutengewa mpaka one trillion.
Kumbuka Charity begins at home.
 
Hapo ni njia panda ya kwenda bukoba kyaka hadi Uganda, magari hayakai yanafika yanashusha na kupanda yanaondoka, lakini ushuru unaingia,sasa mnyika na misongamano yote hiyo kashindwa kutumia mapato ya ndani kuwaletea wanaubungo maendeleo. kabla ya magufuli kama unataka kwenda bukoba ilibidi kuzungukia biharamulo akatengeneza shot cut ya kupitia chato hadi muleba sasa hivi ni safari ya masa saba mwanza bukoba. mbona mbowe kajengewa barabara ya lami wakati hamna hata basi moja linalokwenda hai zaidi ya noah (viford) na bodaboda.
Short cut???!!!
 
Sio mikoa tu hata pale Afrikana kama unaenda Tegeta kuna uhitaji mkubwa wa taa za kuongozea magari. Pia bara bara kubwa kama ile na ile ya kilwa kukosa taa za barabarani ni substandard kwakweli
 
Back
Top Bottom