Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Huwezi ona,akili yako umeinywesha ulevi!unashangaa taa za barabarani kuwekwa barabarani.
Nilidhani Taa za kuongozea magari zimewekwa shambani au kwenye vichochoro za baiskeli...
Huwezi ona,akili yako umeinywesha ulevi!unashangaa taa za barabarani kuwekwa barabarani.
Nilidhani Taa za kuongozea magari zimewekwa shambani au kwenye vichochoro za baiskeli...
Hahahaa mkuu hiyopicha ilipigwa weekend, nijumapili ndiomana huoni magarimengi jaribu kufuatilia siku za kazi utaona msongamano.Nafikiri hata madereva wenyewe hawasubiri ishara ya hizo taa,,,tugari tumojamoja
Mbona mnajifanya wajinga hivyo?Nenda sehemu zenye uhitaji kama utakuta hizo traffic lightsLabda hujui road safety !?
Basi. tambua kuwa jambo mojawapo ni traffic lights
Mfano njoo, Ulaya, USA, Japan yaani barabara bila taa haiwezi kufunguliwa.
Kwa hiyo, taa za barabarani huwa siyo jambo la kuwekea kigugumizi bali ni lazima ziwepo mara tu ujenzi wa barabara unapoisha.
Taa za kuongozea Magari kwenye barabara yoyote ile ni sawa na samaki na maji havitenganishwi.
Unaijua Poor Mind?hahahahaaa
AKILI MBOVU ZANA KUDHANI KILA UNAETOFAUTIANA NAE ANALIPWA...
POOR MIND...
Endeleeni na mahaba niue,unafia kwenye kidonda kama nziKama ungekuwa na mawazo endelevu, Ungefanya kazi kwa bidii Nchi ipate Kodi taa za barabarani zikawekwa nchi nzima ndugu Hadi ikungi...
Sasa unalilia taa za chato zije singida mkuu...
Safi sana mtetezi wa "uzalendo na na matumizi ya rasilimali za nchi". Mawazo kama haya ya kwako yatalisaidia sana taifa hili, na jambo jema ni kwamba awamu hii kumekuwepo na ongezeko kubwa la "wazalendo" kama wewe mnaotetea matumizi sahihi ya rasilimali za taifa! Anzisheni na kampeni ya kupafanya Chato kuwa makao makuu IIunashangaa taa za barabarani kuwekwa barabarani.
Nilidhani Taa za kuongozea magari zimewekwa shambani au kwenye vichochoro za baiskeli...
Okwi anarudi kwenye m Taa usiokuwa na Taa za barabarani. Sunzu na Boban wako wapi? Hiyo TRIO ilikuwa inanipa furaha sana enzi hizo...Zamani:Kwa juhudi za Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. John Magufuli zimewekwa taa za kuongozea magari jimboni humo
UKIELEWA WAFAHAMISHE NA WENZAKO MKUU.Huwezi ona,akili yako umeinywesha ulevi!
Hahahahahahaaaaaaaaaaa.Labda hujui road safety !?
Basi. tambua kuwa jambo mojawapo ni traffic lights
Mfano njoo, Ulaya, USA, Japan yaani barabara bila taa haiwezi kufunguliwa.
Kwa hiyo, taa za barabarani huwa siyo jambo la kuwekea kigugumizi bali ni lazima ziwepo mara tu ujenzi wa barabara unapoisha.
Taa za kuongozea Magari kwenye barabara yoyote ile ni sawa na samaki na maji havitenganishwi.
Mkuu unanifurahisha sana.Hahahaa mkuu hiyopicha ilipigwa weekend, nijumapili ndiomana huoni magarimengi jaribu kufuatilia siku za kazi utaona msongamano.
Acheni wivujamani japo duuh.....
Alitowa pesa yake mfukoni?Zamani:Kwa juhudi za Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. John Magufuli zimewekwa taa za kuongozea magari jimboni humo
Hahahahahahaaaaaaaaaaa.
Yaani unafananisha Chato na Ulaya, Japan...!
Mbona huifananishi na Bukoba, kama ingekuwa kila barabara ikikamika lazima iwekewe taa, Chato ingekuwa ya mwisho kabisa kuwekewa, maana kuna miji mingi mikubwa kuliko chato ambayo ipo tangu Uhuru.
Hapo kubali mshakosea, ili mjada uishe muweze kufikiria vizuri msije mkafanye kosa tena kama hilo ambalo hata mjinga analielewa.
Endelea kutumia akili za kushikiwa,kwa hilo sina shaka nalo na nimewafahamisha na wengine wanaokushangaa!UKIELEWA WAFAHAMISHE NA WENZAKO MKUU.
NI AJABU KUSHANGAA KITU KILICHO MAHALA PAKE...
Huelewi concept yaani tatizo hujui logic.
Logic iko hivi
Kama 'A' ni bora na 'A' na 'B' ni marafiki , Basi 'C'akiwa rafiki wa 'B' naye ni bora.
Nimekuandikia hivyo maana naona akili yako bado ni ya kitoto sana.
Nimetoa mifano kuwa nchi Kama hizo barabara haiwezi kufunguliwa bila taa, ndiyo maana kama chato wameweka taa Basi wamezingatia international road safety.
Sasa akili yako kwa sababu imeisha wekewa akili za mgando na kila jambo ni kupinga kila uonalo utapinga tu.
Nikukumbushe, Mimi siyo sisiemu wala ukawa. I don't want to be a slave of politicians
Kwa akili hizi,bora mkoloni arudi haina maana ya kuwa nchi huru.Hoja zikikosa mnaibuka na vioja!!! So, mbona hamsemi barabara za lami mlizojenga kilimanjaro hadi vijijini wakati barabara ya Nyakanazi - KIGOMA hakuna???
Mbona hamsemi upelekwaji wa maji miji ya kahama toka ziwa Victoria wakati hapo CHATO, MAGU, GEITA nk watu wanaotizama ziwa wakiwa hawana maji??
CHATO sawasawa na dar, Arusha, mwanza ina haki ya kuletewa huduma za kijamii
Tuacheni na sisi wa mkoani tuonage mataa ya kuongozea magari, haiwezekani kila siku tuyaone kwenye luninga tuZamani:Kwa juhudi za Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. John Magufuli zimewekwa taa za kuongozea magari jimboni humo