instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,788
Mji mdogo Wa chato una traffic lights kuliko miji manispaa na baadhi ya majiji yenye magari na watu wengi hivi pale chato kuna nini?kwanini mataa hayo wasiyapeleke kwenye miji mikubwa kama morogoro moshi bukoba iringa na Dodoma ? Sijui kama yana msaada mkubwa kwa watu kama miji hiyo hapo juu?