Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Waste of resource.
Singida hakuna taa,Chato taa za nini?
Kama ungekuwa na mawazo endelevu, Ungefanya kazi kwa bidii Nchi ipate Kodi taa za barabarani zikawekwa nchi nzima ndugu Hadi ikungi...
Sasa unalilia taa za chato zije singida mkuu...
 
Mnamwita Lisu mtetezi wa wezi kumbe na nyie ni watetezi wa majizi vile vile. Huu ni ubadhirifu, ni matumizi mabaya ya fedha za Umma kuweka kitu mahali kisipohtajika kwa kisingizio cha matumizi ya baadaye. Hiyo baadaye ni lini wakati kuna miji taa zinahtajika sasa?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
[|i]Msisahau kunigawia hata jero ya vocha ndugu zangu


Majibu yetu ni mubashara kabisa, ukilinganisha na mada yenyewe.
Kawaida, taa za kuongozea Magari huwekwa barabarani, sasa iweje huyu alete thread Kama hiyo kwa kulalamika na Kama una akili uone kuwa kaleta jambo la msingi!?

Ni hali labda ya uchumi au wakandarasi ndiyo tatizo Ila barabara zinatakiwa kuwa na traffic light kila barabara inapokuwa constructed.

Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua hilo kuwa taa zinawekwa barabarani.

Any way, binafsi siyo sisiemu wala ukawa, I don't want to be a slave.
 
Mnamwita Lisu mtetezi wa wezi kumbe na nyie ni watetezi wa majizi vile vile. Huu ni ubadhirifu, ni matumizi mabaya ya fedha za Umma kuweka kitu mahali kisipohtajika kwa kisingizio cha matumizi ya baadaye. Hiyo baadaye ni lini wakati kuna miji taa zinahtajika sasa?
Hizo taa ziliwekwa na Mh. Mbunge wala si Serikali. Waambieni Wabunge wenu wawawekee taa na nyinyi kwenye majimbo yenu.
 
Majibu yetu ni mubashara kabisa, ukilinganisha na mada yenyewe.
Kawaida, taa za kuongozea Magari huwekwa barabarani, sasa iweje huyu alete thread Kama hiyo kwa kulalamika na Kama una akili uone kuwa kaleta jambo la msingi!?

Ni hali labda ya uchumi au wakandarasi ndiyo tatizo Ila barabara zinatakiwa kuwa na traffic light kila barabara inapokuwa constructed.

Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua hilo kuwa taa zinawekwa barabarani.

Any way, binafsi siyo sisiemu wala ukawa, I don't want to be a slave.
Unajua maana ya kipaumbele?
Hatua za kuangalia kitu ukifanye kipaumbele?
 
Shida iko wapi mkuu, mimi nimekuomba tu jero.
Mambo ya taa yananihusu nini mkuu wakati mimi kipando changu ni cha asilia kabisa
Mwambie akipitia lumumba kuchukua buku saba yake akuwekee jero pembeni kbsaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hoja zikikosa mnaibuka na vioja!!! So, mbona hamsemi barabara za lami mlizojenga kilimanjaro hadi vijijini wakati barabara ya Nyakanazi - KIGOMA hakuna???

Mbona hamsemi upelekwaji wa maji miji ya kahama toka ziwa Victoria wakati hapo CHATO, MAGU, GEITA nk watu wanaotizama ziwa wakiwa hawana maji??

CHATO sawasawa na dar, Arusha, mwanza ina haki ya kuletewa huduma za kijamii
 
Hoja zikikosa mnaibuka na vioja!!! So, mbona hamsemi barabara za lami mlizojenga kilimanjaro hadi vijijini wakati barabara ya Nyakanazi - KIGOMA hakuna???

Mbona hamsemi upelekwaji wa maji miji ya kahama toka ziwa Victoria wakati hapo CHATO, MAGU, GEITA nk watu wanaotizama ziwa wakiwa hawana maji??

CHATO sawasawa na dar, Arusha, mwanza ina haki ya kuletewa huduma za kijamii
Hilo la maji ndio jambo la kufanywa kwa muda huu na wala sio kuweka taa.
Endapo tukifanya mambo kulingana na mahitaji ya watu sehemu husika tutasonga mbele tunakotaka kufikia
 
Waste of resource.
Singida hakuna taa,Chato taa za nini?
Mi nilipita hapo chato kweli ni vitu vya ajabu magari yenyewe hakuna baada ya dk 10 ndio unaona gari linapita kwenye makutano taa za nini??? Miji kama bukoba hakuna!! Sijui walitumia kigezo gani kuziweka hizo taa huko. NdiO nakumbuka ule wimbo wa franco, MOBUTU SESEKO
 
Hoja zikikosa mnaibuka na vioja!!! So, mbona hamsemi barabara za lami mlizojenga kilimanjaro hadi vijijini wakati barabara ya Nyakanazi - KIGOMA hakuna???

Mbona hamsemi upelekwaji wa maji miji ya kahama toka ziwa Victoria wakati hapo CHATO, MAGU, GEITA nk watu wanaotizama ziwa wakiwa hawana maji??

CHATO sawasawa na dar, Arusha, mwanza ina haki ya kuletewa huduma za kijamii
Kwa hiyo mnalipiza?basi mngelipiza kwa huduma za msingi kama maji na elimu
 
Unajua maana ya kipaumbele?
Hatua za kuangalia kitu ukifanye kipaumbele?

Labda hujui road safety !?

Basi. tambua kuwa jambo mojawapo ni traffic lights

Mfano njoo, Ulaya, USA, Japan yaani barabara bila taa haiwezi kufunguliwa.

Kwa hiyo, taa za barabarani huwa siyo jambo la kuwekea kigugumizi bali ni lazima ziwepo mara tu ujenzi wa barabara unapoisha.

Taa za kuongozea Magari kwenye barabara yoyote ile ni sawa na samaki na maji havitenganishwi.
 
Back
Top Bottom