Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
What's TZ reality situation if I may ask you!?In tz realitysituation is a big joke
What's TZ reality situation if I may ask you!?In tz realitysituation is a big joke
Tatizo letu Watanzania ni walalamishi sana na huwa tunapenda kukurupuka bila kufanya utafiti binafsi. Ndio maana tumefika hapa tulipo. Wewe binafsi umeshafika hiyo sehemu husika na kuziona hizo Traffic Lights!? Umesema thread umeshapata Mhemko na kuona kwamba umeonewa. Ie: Kuna thread imo humu inazungumzia Serikali kuipa Voda ruzuku. Figure halisi ilikuwa ni $ 3.4 mil ...mleta mada akaandika $ 34 mil. Halafu hiyo hela imetokea kwa wahisani kusaidia sekta ya mawasiliano vijijini. Lakini Watanzania wenzangu tunapata jazba bila kufanya utafiti. Ndio maana siku hizi magonjwa Kama Presha na sukari yanatuangamiza sana.
Mtazamo wa nani? Kwa hiyo na wewe hapo unaona sio Jambo la kawaida kwa traffic lights kuwa barabarani kuongoza magari na waenda kwa miguu kwa usalama!? Watanzania tuna safari Ndefu Sanaa.
Kaka,
Tatizo linakuja katika kupokea msaada kutoka kwa wahisani. Kuna baadhi ya projects zinakuwa na vitu Kama hivyo ndani yake...inapokuja kwenye ukaguzi wa Miradi husika wahisani wasipokuta Yale yaliyokuwa kwenye makubaliano yametekelezwa kwa ufasaha ndio tarumbeta za UFISADI zinapoanza kusikika. Kwa hiyo inawezekana kabisa katika Plan ya huko Chato Traffic lights zilikuwa inclusive. Ni Kama unavyokuta Outdoors Lights kwenye mbuga za Wanyama na wakati kuna sehemu za MAKAZI ya binadamu hamna hata umeme.
Natumaini umenielewa.....
Rural-Urban dichotomy has never indicated that traffic light is a need in rural development considering both populations, by that i mean density and pressure be it ya magari au ya watu. . . . .kama unabisha bisha tu. . .
What's TZ reality situation if I may ask you!?
Basi sawa....msalimie shemeji hapo.mkuu. nimekunukuu WEWE uliesema tunahitaji traffic lights kwa usalama hata KAMA KUNA GARI MBILI!!!
sijapinga kuweka traffic lights huko chato au chatu sijui....nimekunukuu wewe uliesema hata gari mbili traffic lights zinatakiwa.
Usalama hauanzii barabarani ewe stiff necked. . . . . hiyo dhana ya usalama unayokomaa nayo inabadilika kutokana na hierarchy of needs. . . . . .ueleweshwe vipi. Au pentuim one???!!
There you go at your very best....using big words with an empty brain is a hell of a dangerous combo. I rest my case.
View attachment 274615
Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?
Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro,Dodoma,Iringa n.k.
Lakini cha kushangaza Dr magufuli kapeleka taa hizi wilayani,Huu ni ubinafsi
Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.
![]()
Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?
Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.
Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi
Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.
Huko ndio nasikia tetesi alibadili njia ya rami badala ya kupita ilipopangwa akaipitishia kwao.
Kwani taa ni sh ngapi? Akiwa Rais ataipendelea Tz nzima. Chato ina hispital nzuri toka 2000's ina barabara ya lami toka 2000's. Anajitahidi sana mlikua mnamsema Membe kwa kushindwa kuleta maendeleo kwao.
Hii ni kazi ya halmashauri kwa kutumia ushuru wanaokusanya kutoka maegesho ya magari katika stendi ya chato, muulizeni mnyika mapato ya stand ya ubungo kafanyia nini kwa wana ubungo?